Serikali ya Tanzania kupitia Balozi wake USA watoe tamko la kulaani jaribio la kutaka kumuua Trump

Serikali ya Tanzania kupitia Balozi wake USA watoe tamko la kulaani jaribio la kutaka kumuua Trump

BLACK MOVEMENT

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2020
Posts
4,548
Reaction score
11,901
Hatuwezu kaa Kimya huku Democrasia ikiwa kwenye majaribu makubwa sana, tunaitaka Serikali kupitia Balozi wake au kupitia waziri wa mambo ya nje watoe tamko rasimi la kulaani Jaribio la kutaka kumuua Trump na kuitaka Serikali ya Marekani kuheshimu misingi ya Democrasia.

Ni kwa bahati mbaya hawa CCM hawajui kucheza na nyakati, make vyovyote vile Trump ni raisi ajaye na kutoa tamko kunaweza wasaidia sana serikali shida hawajiongezi.

Ila pia watoe security alert ya kuwataka Watanzania walioko Marekani kuchukua tahadahari kubwa sana nyakati hizi za kampeni.
 
Wao wanakwambia "hatufungamani na upande wowote"!

Masikini hana upande, always yupo neutral kwa survival ya bakuli lake. Kama katika tukio hilo nchi njaa kali unakuta zinatamani kulaani, at the same time hazitamani kulaani ili yeyote atakayepita zijifanye kusimama naye.

Ndoa ya umasikini na usnichi haiwezi kutenganishwa.
 
Demokrasia ni mfumo ulokwisha feli tayari
Kama kufa kwa DT kungepelekea Civil War ndani ya Us bora tu angejifia zake
 
Unauliza ujinga je lisu ilikuwaje nchi ya ccm
downloadfile.jpg
 
Hatuwezu kaa Kimya huku Democrasia ikiwa kwenye majaribu makubwa sana, tunaitaka Serikali kupitia Balozi wake au kupitia waziri wa mambo ya nje watoe tamko rasimi la kulaani Jaribio la kutaka kumuua Trump na kuitaka Serikali ya Marekani kuheshimu misingi ya Democrasia.

Ni kwa bahati mbaya hawa CCM hawajui kucheza na nyakati, make vyovyote vile Trump ni raisi ajaye na kutoa tamko kunaweza wasaidia sana serikali shida hawajiongezi.

Ila pia watoe security alert ya kuwataka Watanzania walioko Marekani kuchukua tahadahari kubwa sana nyakati hizi za kampeni.
ila wasitoe tamko kwa wamasai waliouliwa na Sativa aliyetekwa na kutaka kuuawa
 
Tahila katika ubora wenu.vp watu wanaotekwa na kuuawa hapa kwenye nchi ya CCM kama wanavyojitanabahisha.



Ujinga mtupu,mbona democrasia mnaibaka kwetu.Shenzi kabsa.vibaka nyie,mawaz0 mgando,kazi kujipendekezq
 
Serikali haiwezi kulaani wakati Trump ni raia wa kawaida!
 
Hatuwezu kaa Kimya huku Democrasia ikiwa kwenye majaribu makubwa sana, tunaitaka Serikali kupitia Balozi wake au kupitia waziri wa mambo ya nje watoe tamko rasimi la kulaani Jaribio la kutaka kumuua Trump na kuitaka Serikali ya Marekani kuheshimu misingi ya Democrasia.

Ni kwa bahati mbaya hawa CCM hawajui kucheza na nyakati, make vyovyote vile Trump ni raisi ajaye na kutoa tamko kunaweza wasaidia sana serikali shida hawajiongezi.

Ila pia watoe security alert ya kuwataka Watanzania walioko Marekani kuchukua tahadahari kubwa sana nyakati hizi za kampeni.
😩😩😩😩 Chawa Hana haya
 
Hatuwezu kaa Kimya huku Democrasia ikiwa kwenye majaribu makubwa sana, tunaitaka Serikali kupitia Balozi wake au kupitia waziri wa mambo ya nje watoe tamko rasimi la kulaani Jaribio la kutaka kumuua Trump na kuitaka Serikali ya Marekani kuheshimu misingi ya Democrasia.

Ni kwa bahati mbaya hawa CCM hawajui kucheza na nyakati, make vyovyote vile Trump ni raisi ajaye na kutoa tamko kunaweza wasaidia sana serikali shida hawajiongezi.

Ila pia watoe security alert ya kuwataka Watanzania walioko Marekani kuchukua tahadahari kubwa sana nyakati hizi za kampeni.
Hatutoi laana wala tamkooo kwan lazima
 
Back
Top Bottom