Kinafahamika kipaumbele cha Serikali ya Tanzania kilipo. Hivyo ni Kodi, tozo na kulamba asali.
Kwamba yatokee magonjwa yenye kuuwa watu? Hapo tegemea neno changamoto tokea za kupumua hadi za kutoka damu mwilini.
Uganda wamekwisha longa, Ummy anasubiri hadi Marburg iishe? Au anasubiri hadi mbaya yupi afe?
Kwamba yatokee magonjwa yenye kuuwa watu? Hapo tegemea neno changamoto tokea za kupumua hadi za kutoka damu mwilini.
Uganda wamekwisha longa, Ummy anasubiri hadi Marburg iishe? Au anasubiri hadi mbaya yupi afe?