Sera ya kutumbua kisha ndio imetoka, ni dili ambazo huhitaji tena kufanya kazi serikalini.
Tumezoea kusikia enzi zile za rais Magufuli mara amemtumbua huyu mara amemtumbua yule ni wengi sana wametumbuliwa na wananchi wakishangilia wasiyokuwa na ujuzi wala uelewa nayo.
1) Watanzania niwaulize, nini faida ya kutumbuana huko?
2) Kitu gani kilifuata baada ya mtu kutumbuliwa?
3) Orodha ya waliotumbuliwa unaijua? Yupo yeyote aliefikishwa mahakamani na ukaisikia hukumu? Je, ni wote walifikishwa kwenye vyombo vya sheria kwa sababu zilizowapelekea wao kutumbuliwa haswa pale palipoonekana hela imetafunwa?
4) Nililoliona ni kusikia utapangiwa shemu nyengine, hii nini maana yake?
Kutumbuana bila ya kufikishana kwenye vyombo vya sheria ni unafiki na uzandiki dhidi ya wananchi, haswa pale panapohusishwa na upotevu au ubadhirifu wa fedha.
Eti mtu anambiwa arudishe hela ili asamehewe hii miCCM inaita eti ndio msamaha.
Tumezoea kusikia enzi zile za rais Magufuli mara amemtumbua huyu mara amemtumbua yule ni wengi sana wametumbuliwa na wananchi wakishangilia wasiyokuwa na ujuzi wala uelewa nayo.
1) Watanzania niwaulize, nini faida ya kutumbuana huko?
2) Kitu gani kilifuata baada ya mtu kutumbuliwa?
3) Orodha ya waliotumbuliwa unaijua? Yupo yeyote aliefikishwa mahakamani na ukaisikia hukumu? Je, ni wote walifikishwa kwenye vyombo vya sheria kwa sababu zilizowapelekea wao kutumbuliwa haswa pale palipoonekana hela imetafunwa?
4) Nililoliona ni kusikia utapangiwa shemu nyengine, hii nini maana yake?
Kutumbuana bila ya kufikishana kwenye vyombo vya sheria ni unafiki na uzandiki dhidi ya wananchi, haswa pale panapohusishwa na upotevu au ubadhirifu wa fedha.
Eti mtu anambiwa arudishe hela ili asamehewe hii miCCM inaita eti ndio msamaha.