Ipitishwe sheria duniani, kuwa kiongozi wa nchi masikini, ni lazima upitie SWAT ya akili kwa muda usiopungua mwaka.
Tanzania hii hii? Kenya tu hapo wamepigwa na ukame, hata mahindi tu tunayolima wenyewe tulishindwa kuwapa! Malawi, Msumbiji, Madagascar, kila leo wanapigwa na majanga asili, tumewahi kufanya lolote kwa kiwango hicho?
Samahani, nimeenda mbali huko nje ya mipaka, kumbe kuna wamasai wametimuliwa kwenye makazi yao huko, ambako pia walikuwa wakinywa maji na mifugo...nakumbuka niliona picha ya madarasa ya udongo jimboni kwa NAPE
Hata baada ya kutawala miaka 60, hakuna hata mkoa mmoja wanaoweza sema wameujenga ukakamilika kwa huduma zote muhimu, HAKUNA.
Bilioni 2.3 kama msaada kwa european country?