Serikali ya Ujerumani kutoa kiasi cha Shilingi Bilioni 56 za Kitanzania zitakazotumika kwa ajili ya miradi ya mikubwa ya shughuli za Uhifadhi nchi

Serikali ya Ujerumani kutoa kiasi cha Shilingi Bilioni 56 za Kitanzania zitakazotumika kwa ajili ya miradi ya mikubwa ya shughuli za Uhifadhi nchi

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760
Akizungumza leo na Waandishi wa Habari katika Hifadhi ya Taifa ya Serengeti liliyopo wilaya ya Serengeti mkoani Mara Waziri wa Maliasili na utalii,,Dkt.Damas Ndumbaro akiwa na Balozi wa Ujerumani nchini Tanzania amesema miradi mbalimbalii inayofadhiliwa na Ujerumani iliyopo ndani na nje ya Hifadhi ina umuhimu mkubwa katika Uhifadhi

Amesema fedha hizo zitatumika kwa ajili ya kuangalia mradi wa Ikolojia ya Serengeti pamoja na mradi wa Ikolojia ya Mwl.Nyerere ( Selous)

Dkt. Ndumbaro amesema msaada huo ni muendelezo wa ushirikiano baina ya Tanzania na Ujerumani katika masuala ya Uhifadhi uliodumu kwa zaidi ya miaka 60

Amesema msaada huo wa fedha h utalinufaisha Shirika la Hifadhi za Taifa ( TANAPA) Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania ( TAWA) pamoja na Shirika la Kimataifa la Uhifadhi la Frankfurt Zoological Society ( FZS)

Aidha, Waziri Dkt.Ndumbaro amesema mbali ya fedha hizo kutumika katika masuala ya Uhifadhi, Serikali ya Ujerumani imejipanga pia kuzinufaisha Jamii zinazoishi kuzunguka Hifadhi.

Amesema nchi ya Ujerumani ni miongoni mwa Wadau wakubwa wa Uhifadhi nchini ambao wamekuwa wakisaidia masuala mengi katika Uhifadhi ikiwemo tafiti mbalimbali pamoja na vita dhidi ya Ujangili

" Tunaishukuru sana Serikali ya Ujerumani kwa msaada wao kama Wizara na Serikali ya Tanzania kwa ujumla tunasema asante sana " alisema Dkt.Ndumbaro

Amefafanua kuwa mradi huo utadumu kwa muda wa miaka mitatu na unatarajia kuanza hivi mapema mara baada ya bajeti kupitishwa.

katika hatua nyingine, Waziri Dkt.Ndumbaro amesema katika Azimio la Arusha Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere aliwahi kusemam kuwa shughuli za Uhifadhi zinahitaji ushirikiano wa Wadau kwa ajili ya kutoa fedha pamoja na utalaamu.

Kwa upande wake, Balozi wa Ujerumani nchini Tanzania, Mhe. Regine Hess amesema msaada huo utasaidia Hifadhi hizo katika kipindi hiki cha mlipuko waa Ugonjwa wa Kovid ambapo idadi ya watalii imepungua.

Ameongeza kuwa Serikali ya Ujerumani imetoa fedha hizo kwa ajili ya kusaidia Hifadhi hizo ikiwa ni kuenzi misingi ya ushirikiano iliyowekwa na Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere

====

Joint Press Release by The Ministry of Natural Resources and Tourism and Germany Embassy in Tanzania



Germany introduces Emergency Funding for conservation of biodiversity

support in Tanzania.

Seronera Serengeti, 8th May,2021

Germany government has committed 56 Billion Tshs (20 Million Euros) as an emergency funding to support covid 19 repercussions for the Tanzania’s tourism sector. The commitment was made by the Germany Ambassador HE Regine Hess during her official visit in Serengeti National Park.

The funding will be used in Selous Game Reserve, Serengeti and Nyerere National Parks respectively. The support is a result of the recently global pandemic which has brought an immense pressure in the tourism sector due to a decline in revenues in the protected areas.

Ambassador Hess said the funding shall support TANAPA and TAWA’s formidable work and shall be used to cushion the decreased revenues due to less tourist numbers. The Project shall be named: Emergency Funding for Conservation of Biodiversity Support in Tanzania.

Germany has been one of the most important bilateral partners for Tanzania when it comes to the protection of biodiversity and the precious National Parks and Game Reserves. This is rooted in the friendship between Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere and Prof. Bernhard Grizmek, former President of the German Frankfurt Zoological Society (FZS).

This year we are celebrating the 60th anniversary of the successful Tanzanian-Germany cooperation. The two countries have been close partners in conservation ever since and Germany has spent almost TZS 300 Billion (more than 106 Million Euros) in the past five years, saving and protecting Tanzania’s unique nature and wildlife worldwide.

On his part, the Minister for Natural Resources and Tourism Hon. Dr. Damas Ndumbaro (MP) commended the support from the Germany Government. “This additional new funding will greatly strengthen the protected area authorities’ capacity to manage conservation activities in key ecological systems .We appreciate the contribution of our German partners to the protection of these two ecosystems, Nyerere and Serengeti,” said Minister Ndumbaro.

The funding will be used to provide a much needed assistance to TANAPA and TAWA in improving and enhancing conservation efforts of the Government of the United Republic of Tanzania. As emphasized by Mwalimu Nyerere in Arusha Manifeso “The conservation of wildlife and wild places calls for specialist knowledge, trained manpower and money, and we look to other nations to cooperate with us in this important task- the success or failure of which not only affect the continent of Africa but the rest of the world as well”. Overall, both new additional funding will assist in increasing the scope of execution of critical conservation activities; and contribute towards the objective of improving relations between the protected areas authorities and communities across Serengeti and Nyerere Ecosystems.

The Minister reiterated commitment of the Government of United Republic of Tanzania in continuing efforts to conserve biodiversity. The Minister urged all conservation partners to follow footsteps of the Germany Government in complimenting Government’s efforts in ensuring survival of wildlife for present and future generation.

For further information, please contact:

Emmanuel Mtingwa, German Embassy, Communication Officer, Tel: +255 222212313;
Email:
pr-100@dare.diplo.de

Paschal Shelutete, Senior Assistant Conservation Commissioner-Corporate Communications Tanzania National Parks, Tel:
+255 (0) 754 313 248, paschal.shelutete@tanzaniaparks.go.tz


Balozi wa Ujerumani nchini Mhe. Regine Hess amewasili katika Hifadhi ya Taifa ya Serengeti kwa ziara ya kikazi.

Balozi Hess atakagua miradi mbalimbali ya uhifadhi inayofadhiliwa na Ujerumani iliyopo ndani na nje ya hifadhi.





 

Attachments

Mfano hiyo bln 56 ikigawanywa kwa kila raia
Kila mtu atapata sailing ngapi!!
Nimewaza tu
Hebu siku moja serikali watufanyie hivyo
[emoji23][emoji23]

Ova
 
Mambo YAMEFUNGUKA matunda kuelekea Utawala bora..namwona Mhifadhi Loiboki ...Mataga walichelewesha sana hii mambo
chekelea sena yaani watoe fedha kwaajili ya kuhifadhi mazingira alafu kwenye mbuga zetu za wanyama pesa yenyewe bilioni 56 tu. Mbuga hizo kuna vitu walishaficha hapo ngoja tuone
 
Mfano hiyo bln 56 ikigawanywa kwa kila raia
Kila mtu atapata sailing ngapi!!
Nimewaza tu
Hebu siku moja serikali watufanyie hivyo
[emoji23][emoji23]

Ova
Ni wanyonge 56.000 watapata milioni mojamoja.
 
chekelea sena yaani watoe fedha kwaajili ya kuhifadhi mazingira alafu kwenye mbuga zetu za wanyama pesa yenyewe bilioni 56 tu. Mbuga hizo kuna vitu walishaficha hapo ngoja tuone
Zulumati wa Fedha za Wanyonge kule NSSF

Kwaa taarifa tu niko kwenye hii miradi.ya Conservation zaidi 20 years Hakuna kitu kama hicho zaidi ya watu kufurahia mishahara mizuri shule mamtoni nk ...
 
Kwa hiyo kuigeuza Chato kuwa hab ya utalii imeshindikana Hawa kina Ndumbalo ndiyo walikuwa waimba mapambio,

Vipi Kigwangala alishaludisha zile pesa walizokuka na wale Malaya?
Vipi like sanamu alilotengeneza Kigwangala pale Burigi Chato halifanani hata na mwalimu Jk ,ameludisha pesa?
 
Akizungumza leo na Waandishi wa Habari katika Hifadhi ya Taifa ya Serengeti liliyopo wilaya ya Serengeti mkoani Mara Waziri wa Maliasili na utalii,,Dkt.Damas Ndumbaro akiwa na Balozi wa Ujerumani nchini Tanzania amesema miradi mbalimbalii inayofadhiliwa na Ujerumani iliyopo ndani na nje ya Hifadhi ina umuhimu mkubwa katika Uhifadhi

Amesema fedha hizo zitatumika kwa ajili ya kuangalia mradi wa Ikolojia ya Serengeti pamoja na mradi wa Ikolojia ya Mwl.Nyerere ( Selous)

Dkt. Ndumbaro amesema msaada huo ni muendelezo wa ushirikiano baina ya Tanzania na Ujerumani katika masuala ya Uhifadhi uliodumu kwa zaidi ya miaka 60

Amesema msaada huo wa fedha h utalinufaisha Shirika la Hifadhi za Taifa ( TANAPA) Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania ( TAWA) pamoja na Shirika la Kimataifa la Uhifadhi la Frankfurt Zoological Society ( FZS)

Aidha, Waziri Dkt.Ndumbaro amesema mbali ya fedha hizo kutumika katika masuala ya Uhifadhi, Serikali ya Ujerumani imejipanga pia kuzinufaisha Jamii zinazoishi kuzunguka Hifadhi.

Amesema nchi ya Ujerumani ni miongoni mwa Wadau wakubwa wa Uhifadhi nchini ambao wamekuwa wakisaidia masuala mengi katika Uhifadhi ikiwemo tafiti mbalimbali pamoja na vita dhidi ya Ujangili

" Tunaishukuru sana Serikali ya Ujerumani kwa msaada wao kama Wizara na Serikali ya Tanzania kwa ujumla tunasema asante sana " alisema Dkt.Ndumbaro

Amefafanua kuwa mradi huo utadumu kwa muda wa miaka mitatu na unatarajia kuanza hivi mapema mara baada ya bajeti kupitishwa.

katika hatua nyingine, Waziri Dkt.Ndumbaro amesema katika Azimio la Arusha Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere aliwahi kusemam kuwa shughuli za Uhifadhi zinahitaji ushirikiano wa Wadau kwa ajili ya kutoa fedha pamoja na utalaamu.

Kwa upande wake, Balozi wa Ujerumani nchini Tanzania, Mhe. Regine Hess amesema msaada huo utasaidia Hifadhi hizo katika kipindi hiki cha mlipuko waa Ugonjwa wa Kovid ambapo idadi ya watalii imepungua.

Ameongeza kuwa Serikali ya Ujerumani imetoa fedha hizo kwa ajili ya kusaidia Hifadhi hizo ikiwa ni kuenzi misingi ya ushirikiano iliyowekwa na Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere

====

Joint Press Release by The Ministry of Natural Resources and Tourism and Germany Embassy in Tanzania



Germany introduces Emergency Funding for conservation of biodiversity

support in Tanzania.

Seronera Serengeti, 8th May,2021

Germany government has committed 56 Billion Tshs (20 Million Euros) as an emergency funding to support covid 19 repercussions for the Tanzania’s tourism sector. The commitment was made by the Germany Ambassador HE Regine Hess during her official visit in Serengeti National Park.

The funding will be used in Selous Game Reserve, Serengeti and Nyerere National Parks respectively. The support is a result of the recently global pandemic which has brought an immense pressure in the tourism sector due to a decline in revenues in the protected areas.

Ambassador Hess said the funding shall support TANAPA and TAWA’s formidable work and shall be used to cushion the decreased revenues due to less tourist numbers. The Project shall be named: Emergency Funding for Conservation of Biodiversity Support in Tanzania.

Germany has been one of the most important bilateral partners for Tanzania when it comes to the protection of biodiversity and the precious National Parks and Game Reserves. This is rooted in the friendship between Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere and Prof. Bernhard Grizmek, former President of the German Frankfurt Zoological Society (FZS).

This year we are celebrating the 60th anniversary of the successful Tanzanian-Germany cooperation. The two countries have been close partners in conservation ever since and Germany has spent almost TZS 300 Billion (more than 106 Million Euros) in the past five years, saving and protecting Tanzania’s unique nature and wildlife worldwide.

On his part, the Minister for Natural Resources and Tourism Hon. Dr. Damas Ndumbaro (MP) commended the support from the Germany Government. “This additional new funding will greatly strengthen the protected area authorities’ capacity to manage conservation activities in key ecological systems .We appreciate the contribution of our German partners to the protection of these two ecosystems, Nyerere and Serengeti,” said Minister Ndumbaro.

The funding will be used to provide a much needed assistance to TANAPA and TAWA in improving and enhancing conservation efforts of the Government of the United Republic of Tanzania. As emphasized by Mwalimu Nyerere in Arusha Manifeso “The conservation of wildlife and wild places calls for specialist knowledge, trained manpower and money, and we look to other nations to cooperate with us in this important task- the success or failure of which not only affect the continent of Africa but the rest of the world as well”. Overall, both new additional funding will assist in increasing the scope of execution of critical conservation activities; and contribute towards the objective of improving relations between the protected areas authorities and communities across Serengeti and Nyerere Ecosystems.

The Minister reiterated commitment of the Government of United Republic of Tanzania in continuing efforts to conserve biodiversity. The Minister urged all conservation partners to follow footsteps of the Germany Government in complimenting Government’s efforts in ensuring survival of wildlife for present and future generation.

For further information, please contact:

Emmanuel Mtingwa, German Embassy, Communication Officer, Tel: +255 222212313;
Email:
pr-100@dare.diplo.de

Paschal Shelutete, Senior Assistant Conservation Commissioner-Corporate Communications Tanzania National Parks, Tel:
+255 (0) 754 313 248, paschal.shelutete@tanzaniaparks.go.tz


Balozi wa Ujerumani nchini Mhe. Regine Hess amewasili katika Hifadhi ya Taifa ya Serengeti kwa ziara ya kikazi.

Balozi Hess atakagua miradi mbalimbali ya uhifadhi inayofadhiliwa na Ujerumani iliyopo ndani na nje ya hifadhi.





This is good news ila hizo pesa ni peanut compared to what German looted Tanzania, hivyo ni sehemu tuu ya CSR. Sasa its high time Tanzania sio tupewe viji misaada mbuzi as favours, bali tupewe haki yetu na mapato stahili ya mali kale zetu zilizoko Ujerumani. Sio vibaya tukiwakumbusha Ujerumani kurudisha fuvu la Mkwawa shujaa, na wale mashujaa wote waliowanyonga, kisha kuwachinja na kuchukua vichwa vyao na kuvipeleka Ujerumani. 2. Warudishe malikale zote walizo loot from German East Africa. 3. Wagharimie kutujengea uwezo wa uhifadhi, ili waturudishie ile skeleton ya dinasauria wetu wa Tendaguru ambeye ndie anayevunja gueness book of records ya dinasauria mkubwa duniani, ambaye anawaingizia Ujerumani bilions of money kupitia utalii. Watujengee uwezo, waturudishie dinasauria wetu, watu waje Tanzania na sio Ujerumani.
P
 
Back
Top Bottom