Serikali ya Wanafunzi-UDSM yatoa saa 72 kwa HESLB kutimiziwa maagizo yao vinginevyo kukusanyika nje ya ofisi ya HESLB

Serikali ya Wanafunzi-UDSM yatoa saa 72 kwa HESLB kutimiziwa maagizo yao vinginevyo kukusanyika nje ya ofisi ya HESLB

Nchi ina vijana waoga na wanafiki kama hawa halafu unategemea ccm itoke madarakani

Never never... It will never happen

Sent using Jamii Forums mobile app
Siyo kwa kipigo cha Wale mashetanj. View attachment 1294345
5.jpeg
2.JPG
3.JPG


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Attachments

  • 2.JPG
    2.JPG
    43 KB · Views: 1
  • 2.JPG
    2.JPG
    43 KB · Views: 1
Waliingia kichwa kichwa kutoa ufadhili kwenye vyuo vyote badala ya vile vya umma, wakomae tu kuwapa hiyo mikopo hadi kwenye vyuo vya huko uchochoroni
 
Ni bora mtu uckopeshwe kabsa kuliko ukopeshwe alafu baadae mtu uondolewe kwenye mkopo
apo wanakua wamekuyumbisha mpaka saiz vyuo ving ikiwemo UDOM kuna watu hawajafanya usajir kwa sababu ya kuondolewa kwenye mkopo na nyumban hali ngum mtu anabak na matumain ya kua jina litakuja soon anaish kwa kukopa wadau tu

Kiukwel board inazngua watu wanataabika hatavraha ya kusoma huion

Pia kwa mujibu wa mkataba ukipewa mkopo wew n had kumalza iweje wakukatshie kati sasa
Kwani kukopeshwa ni lazima?
 
Acha vtisho babuu board ndo inasumbua af hzo changamoto mwanzon hazkuepo kabsa but mwaka jana na mwaka huu ndo zmezd kas
board inabd ichunguzwe kabsa hapo
Yaani nikukumbuka kile kipigo cha Wale mashetani wanaovaa vikofia vyekundu. Sitaki kabisa hiyo habari yenu mpaka Leo began langu halijakaaga sawa yaani nilitandikwa rugu. Kama nawaona vile wanaudsm na wanavyopenda chips vidole laini kama wote wanawake watakavyozamishwa Kwenye mitaro na kipigo cha mbwa koko. Eti mihimili yote aaaaaahaaaa kichuo eti kila dola umesahau dola lazima iwe na jeshi. Wale jamaa wamefanya sana mazoezi halafu hawajapata hata vurugu moja wala maandamano tokea aingie jpm. Sasa wewe chuma janga ule na nduguzo usisahau kufukuzwa chuo na kwenda jela vyote vitakuhusu. Kama nakuona vile utakapokuwa unaelekea segerea na umevaa date zilizoandikwa maboresho magereza, utakapokutana wafungwa ambao hawajaona wake zao tokea mwaka. 1980 .Kama wewe unafikiri kukopeshwa ni lazima nenda kaandamane.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kabla ya masharti na makubaliano nijibu swali langu.Je kuna kipengele cha sheria kinachosema ni kinyume na sheria usipopata mkopo au mkopo kuchelewa kabla ya kuwaza kuandamana.
kwa ufaham wangu tu hamna nchi imeweka kipenger cha watu kuandamana bali maandamano hutokea ni kama njia moja wapo ya umma kuilazmisha board maalum itekeleze wajibu wake ambao unatarajiwa kutekelezwa kikatba

Kama ilivyo hapo board imejiahid kutoa mkopo mwanzo wa masomo ad mwisho iweje unafka mwaka wa tatu au wa pili unakatiwa allocation yako apo board imekiuka mkataba
Pia kwa mwaka wa kwanza wamesha pewa allocation umeanza masomo alafu pesa ya kujkim na yenyew haij na ni matumain makbwa kwa nn istolew kwa wakat na sababu za msing hazpo
 
wao wametoa masaa 72, lakini vikosi vya jamhuri vitakuwa pale ndani ya masaa 62 nafikiri.
pole sana wadogo zangu kwa masaibu yanayowakuta, hii nchi ndivyo ilivyo wanaangalia maendeleo vitu vya kuonekana na kuzungumzika kwenye majukwaa

Hasara Umfika Mwenye Mabezo
 
Kinachouma ni kuwa wasiokuwa na uhitaji ndo wanatishia watu humu wanasahau kuwa hali tunatofautiana acha maisha yaendelee kila mtu apambane na hali yake sio kutishiana tishiana kama watoto hatulingani familia tulizotoka wengine wameshakata tamaa chuo bila pesa maisha yanaendaje waliokuwa na pesa ndo hawa walifanikiwa kwenda chuo kujifunza uoga na kurudi mtaani bila impact yoyote kwenye jamii
 
Vijana wa siku hizi tushaanza kuwa wapumbavu na waogawaoga, hiki ndo chanzo cha umasikini wetu na ccm kubaki madarakani

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe hujawahi kukutana na wale FFU wakiwa kazini. Mwenzako mpaka leo bega limepinda yaani madaktari wamepambana sana tuliuza mpaka Shamba ili nipone lakini imeshindikana. Mtu akiniambia tuandamane namfananisha na mtoa roho. Nasema tena sitaki ujinga kabisa kaandamane ufe. Maisha ni bora sana kuliko hiko kidigirii chako cha political Science
IMG_20191217_092036_923.JPG
IMG_20191217_092017_351.JPG
IMG_20191217_091959_033.JPG
IMG_20191217_091947_212.JPG
IMG_20191217_091933_004.JPG
IMG_20191217_091918_537.JPG


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom