CCM inaishi kwa kutegemea wingi wa wajinga wana lijuwa hilo 100%I say, sikuwahi kufikiria hilo! Mwanadamu ni mnyama kwa kweli!
Kidongo umenikumbusha yule afande wa Arushambona ni simple equation hiyo...if a=b and b=c then a=c
ukulima =umasijini
Ukulima=Uchumi wa Tanzania
Hence by identity principle.
Tanzania =Masikini
Sent using Jamii Forums mobile app
Ungependa ongeza apo kwa Tanzania Tu!Ukulima=Umaskini.
Na mwenye masikio na asikie.
Kwa jinsi serikali inavyowatendea wakulima, huku ikisifia kilimo kila siku, ni sawa na mwanaume kumbaka mwanamke na kumwambia amembaka kwa kuwa anampenda yeye sio mwingine!
Kidongo umenikumbusha yule afande wa Arusha
Ila Mungu alisha mpenda zaidiView attachment 1645952
Ningesema kwamba huyu jamaa kama hivi ndivyo anavyoelewa lojiki ya hesabu basi ndio maana aliishia kuwa polisi.
Lakini kwa kuwa anagalau ni polisi mwenye kajicheti ka sheria, ni wazi anadhihirisha ukweli kwamba wanasheria hawajui kabisa hesabu
Kwa hiyo logically uti wa mgongo wa taifa hili ni umasikini!! God have mercy on us!!Ukulima = umasikini
Kilimo = uti wa mgongo wa Tanzania
Total confusion
"Waswahili husema mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni" yaani akisha nyongwa akafa ndio apewe haki yake na haki ya marehemu ni kuzikwa tu!!Hahaha! Kwa hiyo ni serikali ya wanyonge kwa kuwa inanyonga watu! Sikuwa nimetambua hilo
Labda wana maana haki yake ya kuzikwa Mkuu!"Waswahili husema mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni" yaani akisha nyongwa akafa ndio apewe haki yake na haki ya marehemu ni kuzikwa tu!!
Ila Mungu alisha mpenda zaidi
Kwamba hayupo tena?Ila Mungu alisha mpenda zaidi
Yeah ka tangulia kwa PilatoKwamba hayupo tena?
I see. Pamoja na upuuzi aliokuwa anaongea bado ni jambo la kusikitisha.Yeah ka tangulia kwa Pilato