Serikali ya wanyonge inapanga bei elekezi kwa ajili ya bidhaa za viwandani, lakini kwa makusudi imeamua kuwapuuza na kutowajali kabisa wakulima

Serikali ya wanyonge inapanga bei elekezi kwa ajili ya bidhaa za viwandani, lakini kwa makusudi imeamua kuwapuuza na kutowajali kabisa wakulima

I say, sikuwahi kufikiria hilo! Mwanadamu ni mnyama kwa kweli!
CCM inaishi kwa kutegemea wingi wa wajinga wana lijuwa hilo 100%
Ndio maana ata mwasisi hakutaka watu wajuwe yanayo endelea Dunia akawa ana angalia Televisheni pekee yake!
 
Kidongo umenikumbusha yule afande wa Arusha
1607585118584.png


Ningesema kwamba huyu jamaa kama hivi ndivyo anavyoelewa lojiki ya hesabu basi ndio maana aliishia kuwa polisi.

Lakini kwa kuwa anagalau ni polisi mwenye kajicheti ka sheria, ni wazi anadhihirisha ukweli kwamba wanasheria hawajui kabisa hesabu
 
View attachment 1645952

Ningesema kwamba huyu jamaa kama hivi ndivyo anavyoelewa lojiki ya hesabu basi ndio maana aliishia kuwa polisi.

Lakini kwa kuwa anagalau ni polisi mwenye kajicheti ka sheria, ni wazi anadhihirisha ukweli kwamba wanasheria hawajui kabisa hesabu
Ila Mungu alisha mpenda zaidi
 
Hahaha! Kwa hiyo ni serikali ya wanyonge kwa kuwa inanyonga watu! Sikuwa nimetambua hilo
"Waswahili husema mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni" yaani akisha nyongwa akafa ndio apewe haki yake na haki ya marehemu ni kuzikwa tu!!
 
Back
Top Bottom