Serikali ya Zanzibar yapiga marufuku matumizi ya nembo ya upinde wa mvua (Rainbow) mashuleni

Serikali ya Zanzibar yapiga marufuku matumizi ya nembo ya upinde wa mvua (Rainbow) mashuleni

Zimeshaitwa rangi za upinde wa mvua. Wanaozitumia kwa namna iliyo kinyume na maadili ndo washughulikiwe.
Wazuie na upinde wa mvua usiwepo mawinguni mvua inapokatika ili kulinda maadili.
 
  • Kicheko
Reactions: Tsh
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, imepiga marufuku matumizi ya rangi za upinde wa mvua (rainbow) mashuleni, huku ikizitaka shule zote kuacha kuagiza vitabu nje ya nchi, mpaka vitakapothibitishwa na Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali.

Marufuku hiyo imetolewa na Waziri wa Wizara hiyo, Lela Mohamed Mussa, ambapo pia amebainisha kuwa, shule ya msingi ya Seed of Life iliyokuwa ikidaiwa kuhusika na vitendo vinavyokiuka maadili, imechunguzwa na kubainika kuwa haihusiki na vitendo hivyo.

 
Elimu ya Tanzania ndipo ilipotufikisha hapo.
Ujengaji wa hoja wetu unatia kichefuchefu.
 
Waafrica bado Sana mmeanza Hadi kupambana na rangi? So mashoga wakitangaza rangi zote zilizopo duniani ni zao je tutahama sayari?
Kazi ipoooo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hilo ni jinamizi lisiloonekana.

Familia ndo viwanda vidogo vya uchakataji. Tulinde familia zetu jama ohoo. Hakuna alie salama, mabazazi hayaguswi kabisa na haya ndo ya hatari kwelikweli. Na mabazazi si ajabu ndo hayohayo yanayojifanya kupiga ban hiyo rangi, yapo humu jf kutwa kutukana na kujifanya yanapinga ushoga.
Kuna bazizi moja kitambo icho lilikua linafata wanaume pm kuwatongoza, ila eti nalo sasa hivi linalaani aisee, dunia hii.

Wamepiga ban hiyo rangi, basi na hawa washebeduaji wa mitandaoni wachukuliwe hatua.
Sio m1, wapo wa 3, yaan huwa nikiona comments zao nachekaga hadi baas, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wanajistukiaaa balaaaa.
 
Braza kabla hujaingia vitani jaribu kujua unayepigana nae na silaha zipi tuzitumie.
1. Tatizo tayari lipo. Linaletwa na vitu gani hapo ndipo tunapotakiwa tukae kujiulize.
2. Misinfi bora ya kujenga jamii ni familia. Familia ni baba, mama na watoto. Siku hizi familia nyingi ni mama na mtoto au watoto. Kuna tatizo mahali.
3. Vitu vinavyooneshwa kwenye luninga zetu vina walakini. Je tupo tayari kubadilika? Jamii tumelea madudu kwa miaka mingi. Tunaelekea wapi?
4. Kukataza rangi iliyokuwepo toka kuumbwa kwa ulimwengu tayari kuna changamoto. Tukae chini tutatue tatizo tusitibu matokeo. Hapa tunatibu matokeo kwa kutumia akili za moto wa kifuu.
5. Baadhi ya matendo yetu mabala ndiyo yanaachia mwanya wa hizi laana. Tunaendekeza uzinzi uliopitiliza. Madhara yake ni kuachiliwa kwa roho za kila namna. Yesu alisema hivi “asiyekuwa na dhambi na awe wa kwanza kumrushia jiwe”. Hakusalia hata mmoja. Mwishoni tunajitakia haya. Anga linanuka uovu ila tunaona uovu wa namna hii tu wakati tunayowafanyia mama zao kwenye faragha yanatisha.
Pia wakati mwingine haya ni matokeo ya dhambi za vizazi. Kumbuka alisema hivi nitawapatilizia watoto dhambi za baba zao mpaka kizazi cha nne. Je hawa sio kizazi cha nne?
Ukwelii mchunguu huu,
Umepiga kwenye mshonooo.
 
Kwani kimsingi upinde wa mvua si una rangi zote,naona kesho watu wa lbgqt wakitangaza bahari kama ndio nembo yao wazenji watahamia jangwani,african mind is full shit.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kazi ipooo.
 
Maajabu duniani hayaishi
Sasa hiyo rainbow inayotokea wakati wa mvua wataifunika pia

Najua watoto wanapenda kuona rangi tofauti tofauti kwenye vitabu na hata wakati wa kuchora kama crayons [emoji998] zote zina rangi zote je nazo watapiga marufuku?

Ushoga upigwe vita tena kwa vitendo ila rangi sio sawa
Wao wasituzidi kwa kuamua hayo
Itafika hata ukiwa na rangi Tatu tu watasema ni upinde
Mwisho na vyama vyetu tutabadili rangi na kuwa rangi moja tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nacheka km mazuri. Uwiiiih
 
Taratibu tutaelewana?

Hapa ITV wana report kuwa serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imepiga marufuku rangi za upinde wa mvua visiwani humo kwenye shule zote za msingi, secondary na vyuo, maeneo ya uwazi, ili kulinda kizazi dhidi ya mashoga na wasagaji.

Pia wamezuia kuagiza vitabu vyovyote kutoka nje ya nchi

View attachment 2602310

View attachment 2602313
Good..
Hawa kuwapiga vita ni lazima na kuwashinda ni lazima. Wanakuja kwa mlengo wa haki za binadamu. Haki gani ya binadamu mwanaume kuto_bwa mk_ndu, na mwanamke kumuoa mwanamke mwenzie.
Hawa kina fatma karume wakome kabisa kutetea tena ni kichefuchefu.
 
Good..
Hawa kuwapiga vita ni lazima na kuwashinda ni lazima. Wanakuja kwa mlengo wa haki za binadamu. Haki gani ya binadamu mwanaume kuto_bwa mk_ndu, na mwanamke kumuoa mwanamke mwenzie.
Hawa kina fatma karume wakome kabisa kutetea tena ni kichefuchefu.
Huyo uliemtaja nadhani bila Shaka ni lesbian maana anafanana nao kabisa
 
Habari zenu wakuu

IMG_8850.jpg



Mtanisaidia kwenye hizo rangi hapo kwenye picha ni zenyewe au kuna kitu nafananisha za wazee wa upinde?

Hapo bia zinagawiwa bure nani? Aliyedhamini na kwa nini? Alama za nembo zao zifananie na hayo marangi ya upinde wa mvua?

Nilikuwa mazoezi nikakutana na hivyo vituko- nchi ina mambo yaajabu sana sasa Zanzibar wanewezaje? Sisi tukashindwa kupiga marufuku hayo mambo sasa

IMG_8851.jpg
 
Nna kavideo kinakataa kupanda cha hapo kwenye hizo harakati zao
 
Tafuta pesa Kwa ajili ya familia yako achana na changamoto za Global utapoteza mda umri nao unasonga...
 
Nani kamchagua mwenzake? Rangi zimewachagua LGBTQ au LGBTQ wamechagua rangi?

LGBTQ wanavaa, wanakula, wanajongea, wanalala, kifupi wanaishi.

Haya tuanze kuyatenga yote wayafanyayo ili tubaki salama.

Zaidi, tuondoe ile PRISM mnayowafundisha watoto kule shuleni.

Tupambane na tabia kupitia maelezi, FAMILIA zikiendelea kuendekeza USASA, USAWA na PESA, basi taasisi ya NDOA ndo inakufa kifo cha mende.

Pumbavu.
 
Back
Top Bottom