BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,591
- 8,826
Mamlaka ya Udhibiti wa Posta na Mawasiliano (POTRAZ) imeidhinisha leseni ya utoaji Huduma za Intaneti kwa kampuni ya #Starlink inayomilikiwa na Bilionea #ElonMusk
Taarifa ya Rais Emmerson Mnangagwa imesema "Uamuzi huu unatarajiwa kuongeza miundombinu ya Mtandao wenye Kasi ya Juu na ya gharama nafuu kote nchini na hasa katika maeneo yote ya vijijini,"
Uidhinishaji wa Starlink umekuja baada ya kuwepo msako mkali nchini humo dhidi ya Watumiaji wa huduma hizo ambao hawajasajiliwa na wanaouza vifaa vya Starlink kinyume na Sheria
Hadi sasa, Starlink imepata Leseni za huduma katika Nchi za Nigeria, Msumbiji, Zambia, Kenya, na Malawi. Aidha, hivi karibuni nchi za Tanzania na Cameroon zilikamata waingizaji wa Vifaa hivyo wasiokuwa na Vibali.
===========
HARARE, May 25 (Reuters) - Zimbabwe's telecom regulator has approved the licensing of Elon Musk's Starlink, allowing the satellite unit of SpaceX to operate in the southern African country, President Emmerson Mnangagwa said on Saturday.
The decision "is expected to result in the deployment of high speed, low cost, LEO (low-Earth-orbit) internet infrastructure throughout Zimbabwe and particularly in all the rural areas," Mnangagwa said in a statement.
He said Starlink will provide services through its sole and exclusive local partner, IMC Communications.
A World Bank report in 2021 said only 34.8% of Zimbabwe's population had access to the internet.
The country's internet service is dominated by three major mobile network operators.
The Starlink approval comes amid a government crackdown on unregistered users smuggling Starlink kits from neighbouring countries like Zambia.
Starlink is currently officially offered in various African nations, including Nigeria, Mozambique, Zambia, Kenya, and Malawi.
Last month, Cameroon ordered the seizure of Starlink equipment at the country's ports of entry as the provider was not licensed.