daraja la kigamboni
JF-Expert Member
- Apr 28, 2016
- 3,127
- 3,062
257,098.05 kwa mweziMastercard, visa, paypal n.k kawaida tu kama unavyolipia amazon prime, Netflix ,apple tv n.k
Per month $99.
Unapata GB ngapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
257,098.05 kwa mweziMastercard, visa, paypal n.k kawaida tu kama unavyolipia amazon prime, Netflix ,apple tv n.k
Per month $99.
Unlimited, speed ni zaidi ya 4G, unaweza connect more than 120 devices na speed ikawa stable.257,098.05 kwa mwezi
Unapata GB ngapi?
Hapo bado TRA hawajaingiaUnlimited, speed ni zaidi ya 4G, unaweza connect more than 120 devices na speed ikawa stable.
Ukiwa na wenzako kama 4 au jirani mnatumia netflix n.k mnaweza changia kila mmoja 65. Mnaweza share hata mtaa mzima...
Bado hairuhusiwi kutumiwa Tanzania.Hapo bado TRA hawajaingia
Myahudi huyo muasisi wa internetMusk ameweka kitu kinaitwa global roaming kwenye starlink, hivyo Tanzania inashika vyema.
Tanzania mbona watu wanatumia wengi tu. Wajanja wanavitumia sana.
Wanaviagiza Kenya, uzuri ukikiweka hata sakafuni kinashika si lazima juu ya bati, kama nyumba ina uzio ukikiweka uwani chini kinashika fresh tu.
Yaani Iko poa. Haya ukipakuwa application Yao ukianza ku scan satelites zake zinajaa jaa hata ukiwa ndani..sema kuingiza Kutoka Rwanda ni vigumu sana...labda Zambia au KenyaUnlimited, speed ni zaidi ya 4G, unaweza connect more than 120 devices na speed ikawa stable.
Ukiwa na wenzako kama 4 au jirani mnatumia netflix n.k mnaweza changia kila mmoja 65. Mnaweza share hata mtaa mzima...
Mi nimeona wana wanatumia sana, Watu wanatumia hawajali.Yaani Iko poa. Haya ukipakuwa application Yao ukianza ku scan satelites zake zinajaa jaa hata ukiwa ndani..sema kuingiza Kutoka Rwanda ni vigumu sana...labda Zambia au Kenya
Atachezea mbata sasa akileta ujuaji asidhanie tunamuogopa na tumbo lake kama ameficha mito.Nape shikilia hapo hapo
Bei ya mashine ni hiyo hapo. Sasa ngoja tuone fee ya mwezi.Subscription yake inakuwaje sasa?
Nape Rostam Aziz;sahauni kabisa Starlink kupewa vibari nchini mwetu!View attachment 2999397
Mamlaka ya Udhibiti wa Posta na Mawasiliano (POTRAZ) imeidhinisha leseni ya utoaji Huduma za Intaneti kwa kampuni ya #Starlink inayomilikiwa na Bilionea #ElonMusk
Taarifa ya Rais Emmerson Mnangagwa imesema "Uamuzi huu unatarajiwa kuongeza miundombinu ya Mtandao wenye Kasi ya Juu na ya gharama nafuu kote nchini na hasa katika maeneo yote ya vijijini,"
Uidhinishaji wa Starlink umekuja baada ya kuwepo msako mkali nchini humo dhidi ya Watumiaji wa huduma hizo ambao hawajasajiliwa na wanaouza vifaa vya Starlink kinyume na Sheria
Hadi sasa, Starlink imepata Leseni za huduma katika Nchi za Nigeria, Msumbiji, Zambia, Kenya, na Malawi. Aidha, hivi karibuni nchi za Tanzania na Cameroon zilikamata waingizaji wa Vifaa hivyo wasiokuwa na Vibali.
===========
HARARE, May 25 (Reuters) - Zimbabwe's telecom regulator has approved the licensing of Elon Musk's Starlink, allowing the satellite unit of SpaceX to operate in the southern African country, President Emmerson Mnangagwa said on Saturday.
The decision "is expected to result in the deployment of high speed, low cost, LEO (low-Earth-orbit) internet infrastructure throughout Zimbabwe and particularly in all the rural areas," Mnangagwa said in a statement.
He said Starlink will provide services through its sole and exclusive local partner, IMC Communications.
A World Bank report in 2021 said only 34.8% of Zimbabwe's population had access to the internet.
The country's internet service is dominated by three major mobile network operators.
The Starlink approval comes amid a government crackdown on unregistered users smuggling Starlink kits from neighbouring countries like Zambia.
Starlink is currently officially offered in various African nations, including Nigeria, Mozambique, Zambia, Kenya, and Malawi.
Last month, Cameroon ordered the seizure of Starlink equipment at the country's ports of entry as the provider was not licensed.
Sasa vibali kwani ni lazima waweke ofisi hapa, ukipata tu vile vifaa unapata internet bila shida.Nape Rostam Aziz;sahauni kabisa Starlink kupewa vibari nchini mwetu!
Starlink ataharibu masilahi ya wanaojiita wenye chama na nchi,hii ni kwasababu wenye nchi halisi tunelala usingizi mzito!