Nakumbuka last time afsa afya wa Kagera alikanusha taarifa ambazo dr alizitoa!
Sijui ilikuwa funika kombe mwanaharamu apite sasa Ebola imetinga mwanza sasa sijui yule suspect wa Karagwe anaendeleaje usikute wamemtorosha kwenda uganda ilimkuepuka aibu maana hii serikali yetu ni tia maji tia maji