Serikali yaabika baada ya kukanusha sasa Mgonjwa wa Ebora apatikana Mwanza

Serikali yaabika baada ya kukanusha sasa Mgonjwa wa Ebora apatikana Mwanza

Return Of Undertaker

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2012
Posts
4,572
Reaction score
26,885
Source tv iliyokanisha mara ya kwanza TBC ccm

Ni mgonjwa wa ebora ambaye jeahatengwa kwenye dalili za ugonjwa wa ebora na sampuli zake zapelekwa Uganda kwa uchunguzi zaidi
 
Mkuu mbona hueleweki? hebu rekebisha na utoe taarifa kwa kina.
 
Nakumbuka last time afsa afya wa Kagera alikanusha taarifa ambazo dr alizitoa!
Sijui ilikuwa funika kombe mwanaharamu apite sasa Ebola imetinga mwanza sasa sijui yule suspect wa Karagwe anaendeleaje usikute wamemtorosha kwenda uganda ilimkuepuka aibu maana hii serikali yetu ni tia maji tia maji
 
Yaaani serikali hii kila kitu wanakataa
 
Back
Top Bottom