johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Soma taratibu uelewa!Huwezi kupima tija ya mfanyakazi ndani ya mwezi mmoja
Twende ukajibu hoja yangu ya barabara ya Bagamoyo, hapa nilikuwa nakuchokonoa tu. Barabara inajengwa na JICA mipumbavu mnajisifia eti ni nyie mnajenga.Soma taratibu uelewa!
Uhalisia ni watu wanaondolewa kazini hapoSoma taratibu uelewa!
Mbona Chadema visima vya Sabodo viliwashinda?Twende ukajibu hoja yangu ya barabara ya Bagamoyo, hapa nilikuwa nakuchokonoa tu. Barabara inajengwa na Jica mipumbavu mnajisifia eti ni nyie mnajenga.
Mmeshindwa kujenga vyoo vya mashule, madarasa, maabara na maktaba na nyumba za walimu, mtawezaje kujenga Bagamoyo road?
Mikataba ya kazi kwenye miradi ya kimkakati.Uhalisia ni watu wanaondolewa kazini hapo
Kuondoa wale vibarua wote wa SGR, au kupunguza vibarua wa Stigla JoJiMikataba ya kazi kwenye miradi ya kimkakati.
Unaijua hiyo miradi?
Njoo ulete reference kwamba matako ya chama cha Mazezeta yanajenga Bagamoyo roadMbona Chadema visima vya Sabodo viliwashinda?
Usione vyaelea bwashee CCM inaaminika na wajapani!
Nadhani wanalengwa wageni!Kuondoa wale vibarua wote wa SGR, au kupunguza vibarua wa Stigla JoJi
Unazan eeeeeeh sasa subiria kilioNadhani wanalengwa wageni!
Hawa walikuwa wanasubiri uchaguzi upite waanze kuuwa watuOhoooo! Fagio hilo la chuma baada ya uchumi kuporomoka kwa kasi ya kutisha. Maelfu kufukuzwa kazi kwa mikataba “isiyo na tija” kwa serikali hii haramu.
Hata ukitumia kile kigari cha J J Mnyika Mwenge hadi Ufipa ni dakika 3 tu!Njoo ulete reference kwamba matako ya chama cha Mazezeta yanajenga Bagamoyo road
Uongozi si elimu bwashee,elimu ni nyongeza tu.uongozi ni inborn.kama ndivyo basi maprofesa wangekuwa viongozi wazuri.wewe na elimu yako mguse huyo Jenista Kama hatakutoa nje ya mstari.Kwani TL ni nani mbona hata maprofesa wanamgwaya.?Huyo Jenista mwenyewe Hana tija serikalini mwalimu wa kiswahili na diploma yake pale korogwe ttc sijui anawahonga Nini Marais wetu mpaka wanamteuwa.
Tuwashukuru sana walipakodi wa JapanHata ukitumia kile kigari cha J J Mnyika Mwenge hadi Ufipa ni dakika 3 tu!
Na CCM kwa usimamizi mzuri!Tuwashukuru sana walipakodi wa Japan
Ha Ha ha ha inaaminika na beberuzMbona Chadema visima vya Sabodo viliwashinda?
Usione vyaelea bwashee CCM inaaminika na wajapani!
Wasimamizi ni Mac Construction, sio CCM, hebu rafiki, tafuta wenzako wa kuwadanganyaNa CCM kwa usimamizi mzuri!