Serikali yaahidi kupeleka kituo cha afya Chato

Serikali yaahidi kupeleka kituo cha afya Chato

Teko Modise

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2017
Posts
2,331
Reaction score
7,733
Kweli zama huja na kuondoka. Serikali imeahidi kupeleka kituo cha afya Chato ili kuhakikisha wananchi wanapata huduma safi za afya.

My take:
Uwanja wa ndege haukuwa na faida wakati huduma za kijamii kumbe zilikuwa bado.
BB5104E5-83EB-442C-BE3C-2B6BE18011C3.jpeg
 
Kweli zama huja na kuondoka. Serikali imeahidi kupeleka kituo cha afya Chato ili kuhakikisha wananchi wanapata huduma safi za afya.

My take:
Uwanja wa ndege haukuwa na faida wakati huduma za kijamii kumbe zilikuwa bado. View attachment 2335651
Hiyo ikulu inayotarajiwa kujengwa huko Zanzibari wakati tayari kuna ikulu mbili na moja aliikimbia Karume akahamia forodhani karibu fukwe za bahari huioni unakaa na majungu ya kuadika Chato chato chato mpaka mishipa inawatoka. Huo uwanja unaoupinga uko pale kwa kuwa hata watu wa Chato nao wanahitaji miundo mbinu iliyopo mahali popte Tanzania.
 
Hiyo ikulu inayotarajiwa kujengwa huko Zanzibari wakati tayari kuna ikulu mbili na moja aliikimbia Karume akahamia forodhani karibu fukwe za bahari huioni unakaa na majungu ya kuadika Chato chato chato mpaka mishipa inawatoka. Huo uwanja unaoupinga uko pale kwa kuwa hata watu wa Chato nao wanahitaji miundo mbinu iliyopo mahali popte Tanzania.
Kunywa maji mengi sana
 
Hiyo ikulu inayotarajiwa kujengwa huko Zanzibari wakati tayari kuna ikulu mbili na moja aliikimbia Karume akahamia forodhani karibu fukwe za bahari huioni unakaa na majungu ya kuadika Chato chato chato mpaka mishipa inawatoka. Huo uwanja unaoupinga uko pale kwa kuwa hata watu wa Chato nao wanahitaji miundo mbinu iliyopo mahali popte Tanzania.
Chato ninayoifahamu, ilihitaji sana huduma nyingi zinazogusa wengi, kabla ya uwanja wa ndege.

Sasa ni lazima Serikali irudi kwenye mahitaji ya msingi yanayogusa wananchi walio wengi wa Chato kuliko kukazania vitu vya showoff, visivyo na impact kubwa kwa umma.

Kuna wakati Chato itahitaji sana uwanja wa ndege, lakini wakati huo siyo sasa. Kuwajengea VETA ilikuwa sahihi, kuwajengea hospitali nzuri ya kawaida yenye vifaa na huduma zote muhimu, ilikuwa sahihi, lakini hospitali teule haikuwa hitaji la msingi. Pesa hiyo ingetumika kuboresha na kuongeza huduma za matibabu Bugando.

Tunaweka huduma specialized, kama hospitali teule, rufaa au ya Taifa, ili kuondoa malalamiko juu ya upendeleo na kuwabagua watu, ni laza tuwe na vigezo vinavyotuongoza. Kwa mfano:

1) Kila Kanda iwe na jiji moja, hospitali moja teule na uwanja mkubwa wa ndege

2) Kila mkoa uwe na hospitali moja ya rufaa, uwanja wa ndege wa kati na shuoe moja ya watoto wenye uwezo mkubwa kimasomo, ambayo wanafunzi waje, wa mkoa husika, hawatazidi 10%.

3) Kuwepo na hospitali 2 za Taifa, na viwanja viwili vya kimataifa (Dar na Dodoma)

4) Kila wilaya iwe na airstrip, hospitali 1 ya wilaya, na chuo kimoja cha VETA.
 
Kweli zama huja na kuondoka. Serikali imeahidi kupeleka kituo cha afya Chato ili kuhakikisha wananchi wanapata huduma safi za afya.

My take:
Uwanja wa ndege haukuwa na faida wakati huduma za kijamii kumbe zilikuwa bado. View attachment 2335651
Walipata Rais mpuuzi ambae aliona kuwajengea mastendi,viwanja vya ndege,mahakama,na ujinga ujinga mwingine badala ya shule,afya na huduma zingine za jamii kama maji..
 
..halafu kuna watu, badala ya kudai wapatiwe huduma za kijamii kama zahanati, maji, etc, walikuwa wanadai Chato iwe mkoa.
 
Chato ninayoifahamu, ilihitaji sana huduma nyingi zinazogusa wengi, kabla ya uwanja wa ndege.

Sasa ni lazima Serikali irudi kwenye mahitaji ya msingi yanayogusa wananchi walio wengi wa Chato kuliko kukazania vitu vya showoff, visivyo na impact kubwa kwa umma.

Kuna wakati Chato itahitaji sana uwanja wa ndege, lakini wakati huo siyo sasa. Kuwajengea VETA ilikuwa sahihi, kuwajengea hospitali nzuri ya kawaida yenye vifaa na huduma zote muhimu, ilikuwa sahihi, lakini hospitali teule haikuwa hitaji la msingi. Pesa hiyo ingetumika kuboresha na kuongeza huduma za matibabu Bugando.

Tunaweka huduma specialized, kama hospitali teule, rufaa au ya Taifa, ili kuondoa malalamiko juu ya upendeleo na kuwabagua watu, ni laza tuwe na vigezo vinavyotuongoza. Kwa mfano:

1) Kila Kanda iwe na jiji moja, hospitali moja teule na uwanja mkubwa wa ndege

2) Kila mkoa uwe na hospitali moja ya rufaa, uwanja wa ndege wa kati na shuoe moja ya watoto wenye uwezo mkubwa kimasomo, ambayo wanafunzi waje, wa mkoa husika, hawatazidi 10%.

3) Kuwepo na hospitali 2 za Taifa, na viwanja viwili vya kimataifa (Dar na Dodoma)

4) Kila wilaya iwe na airstrip, hospitali 1 ya wilaya, na chuo kimoja cha VETA.
Akili kubwa hii ..

Kudos bro

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom