FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Ukiviwahi zile dakika chache za mwanzo na ukavihifadhi kwenye baridi, vinakuwa na uhai badoKwani anaweza kufa mtu alafu viungo vyake vikawa vinafanya kazi?maana nlizani mtu akifa na cells zake na organ zake huwa zimefeli