JOSEPHAT J BAZA
Member
- May 4, 2013
- 27
- 22
Baada ya wanafunzi wa
kidato cha nne kushindwa mitihani yao, sasa serikali ya CCM imeanza
kuyachakachua matokeo ya mtihani ili kuficha aibu. Je, hii ndiyo njia ya
kutatua matatzo ktk elimu? huu ni upuzi mtupu! Serkali iache
kumuingilia Dk. Ndalichako katika kazi yake kwani matokeo yaliyotoka ni
sahihi.
Baada ya wanafunzi wa kidato cha nne kushindwa mitihani yao, sasa serikali ya CCM imeanza kuyachakachua matokeo ya mtihani ili kuficha aibu. Je, hii ndiyo njia ya kutatua matatzo ktk elimu? huu ni upuzi mtupu! Serkali iache kumuingilia Dk. Ndalichako katika kazi yake kwani matokeo yaliyotoka ni sahihi.[matokeo yaliyo toka si sahihi kwann watumie madaraja tofauti waachien daraja zao bwana]