Serikali yaanza kuogopa "maono" ya Lema

Serikali yaanza kuogopa "maono" ya Lema

Lema amezungumza lugha ambayo wao wanaifahamu. Walizoea wao tu kutisha watu.
Kikwete alisema Upinzani ukichukua madaraka Jeshi litapindua.
Wengine walisema upinzani wakitwaa madaraka, wataleta vita,yatatokea kama ya Rwanda.

Malcom X alisema hii kitu.


"Brothers and sisters, if you and I would just realize, that once we learn to talk the language that they understand, they will then get the point. You can't ever reach a man if you don't speak his language. If a man speaks the language of brute force, you can't come to him with peace. Why goodnight! He'll break you in two, as he has been doing all along. If a man speaks French, you can't speak to him in German. If he speaks Swahili, you can't communicate with him in Chinese. You have to find out, what does this man speak? Once you know his language, learn how to speak his language. He'll get the point, there will be some dialogue, some communication, and some understanding will be developed. You've been in this country long enough to know the language the Klan speaks, they only know one language. What you and I have to start doing in 1965, I mean that's what you have to do because most of us have already been doing it, is start learning a new language. Learn the language that they understand, and then when they come up on our door step to talk, we can talk."


Daah nimeikubali hii comment yako mkuu
 
Bado Muda Upo wa Kujua Kama Lema Ni Kichaa au La, Kwanini Kuandikia Mate na Wino upo? Muda ni Jibu! Mimi Naamini Ipo siku, watakaosalia watakimbia kumtoa Lema Jela tena Kwa Pikipiki na Vimulimuli, alichosema Ni Ukweli, huwezi Kujifanya Mungu na Kukanyaga watu Mungu akuangalie tu. Hitler, Idd Amin, Qaddafi, Sadam, Doe, Nicolae wa Romania, Surhato etc, wote walikuwaje na Ni nini Kiliwapata. Magufuli anadhanije yeye ni special!
Watu wanajiuliza (hasa walio nje ya Libya) kwa nini Qaddafi walimtenda vile pamoja na yote tunayosikia kuhusu nchi yake ilivyokuwa inafaidisha watu wake? Jibu ni moja tuu, Qaddafi alifikia mahali alijifanya Mungu kwa maisha ya watu wengine. Ukimpinga pale anapokwenda tofauti basi ujue huna maisha tena au utapata mateso makubwa sana.
Neema iliyokuwepo Libya alijifanya ni yake wakati rasilimali zile zipo pale kwa neema ya Mungu tuu, na kiongozi kutimiza wajibu wake sio sifa bali ni jambo la lazima maana wananchi hao wanamlipa na kumtunza kwa kiwango cha juu kuliko raia mwingine yeyote.
Hapa kwetu nani anatunzwa yeye na familia yake kuliko mtu mwingine yeyote katika nchi kama sio rais? Kama anatunzwa hivyo yeye na familia yake ni lazima a delivery kinachokusudiwa au aondoke apewe mwingine kati ya mamilioni waliopo.
Na kukataa asiambiwe nini cha kufanya na akaumiza wanaomwambia basi huko ni kujifanya Mungu.
 
Lolote alilosema ni maoni yake, it is only a coward who arrest somebody for just speaking his believe, let alone stating his mind. Magufuli sio Mkali ila is a Man with no Balls! Full of fear and without confidence just like every other Dictators! I too believe God will let him Go if he will not humble down!
 
Inavyoonekana serikali imeanza kuogopa kauli ya Lema aliyoitoa kuwa "Endapo rais atafikiri yeye ni Mungu basi Mungu anaweza kusitisha maisha yake kabla ya 2020".

Hayo yamejidhihirisha leo mahakamani baada ya wakili wa serikali kusema,

"Lema asipewe dhamana kwa kuwa alisema Rais atakufa kwa hiyo akitoka ataweza kuufanikisha mpango huo. Lakini pia kwa sasa mke wa Rais ni mgonjwa na inawezekana ndio sehemu ya maono ya Lema kuidhuru familia ya Rais".
🤣
 
Back
Top Bottom