jamiimemba
Senior Member
- Oct 30, 2014
- 156
- 39
Hiyo mil 45 ni pamoja na wasiojua kusoma wala kuandika.Na mil 2 ndo Watanzania wanaofikrika angarau kuwa na akıli ya kusoma na kuelewa document ya kisherıa.Ndo mana watu wanapenda taasisi za kıtaalam zısaıdıa kuufafanulia umma.
kama ni kweli unayosema bas hii nchi bado illiteracy rate ipo juu sana