Hivi ni Serikali ndio inafanya Mazungumzo au ni Rais / Dr. ndio huwa ana-negotiate masuala ya Bei?
Tusichanganye Serikali hapa kwenye suala la mtu, Mazungumzo yote na hata mchakato wa manunuzi unakuwaga na supporting docs, pia unakuwa wa Uwazi na Ushirikishwaji kwa wadau.