Uchakachuaji ni adulteration, yaani, kubadilisha kutoka kwenye hali moja kuwa hali nyingine. Kwa mfano, mafuta ya dizeli ukiyachakachua na mafuta ya taa, si mafuta ya dizeli tena, kwani ni mchanganyiko.
Kwa upande wa CCM, wanachofanya ni wanachukua kura hewa wanazichanganya na kura halali halafu wanasema kura hizi ni za mgombea fulani, jambo ambalo ni wizi, kama kwenye uchakachuaji wa mafuta ya dizeli.
CCM mabingwa kwa uchakachuaji wa kura... zote... za maoni hadi uchaguzi mkuu. Sorry, I mean uchafuzi mkuu!
Lakini kiama cha CCM kiko njiani. Kwani KANU nao si walisema kwamba hawataondoka madarakani? Mbona leo wanaitwa chama cha upinani?
LOL