Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Kama walivyojifanya wanaongeza mshahara halafu wakaweka TOZO kuitoa mshahara huo benkiMnafurahi kufutwa kwa hizo ada? Badala yake inaletwa Tozo ya aina nyjngine halafu mnaanza kulalamika.
Ilitangazwa elimu bure, gharama za maisha zikapanda hasa upande wa matibabu.
Sasa na hii, sijui nini kitatokea.
Mama anaupiga mwingi sekta ya elimuTaarifa iliyotolewa na Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA) imesema watahiniwa wa Darasa la 7, Kidato cha 4 na 6 kutoka shule za Serikali hawatolipa ada hizo kuanzia sasa.
Hata hivyo Baraza limesema ada hizo zitaendelea kulipwa na wanafunzi wa shule za binafsi.
View attachment 2357463
Usikalili hii ni Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan kwaiyo mambo ni tofauti awamu hii haina propagandaWaliwahi kufanya hivyo 2011 ila 2012 ilirudishwa. Ni suala la muda tu.
Serikali ya kurithi.
Zilikuwa zinaliwa na kale jamaa kalikohamishiwa Loca Gvt, during kazi maalumu ananunua sahani ya chakula kwa 6K per marker anaandika 12K, ukweli hakuna atakayeziona mbinguTaarifa iliyotolewa na Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA) imesema watahiniwa wa Darasa la 7, Kidato cha 4 na 6 kutoka shule za Serikali hawatolipa ada hizo kuanzia sasa.
Sahihi kabisa Kaka...nashangaaa wanajishaua hapa,wanaona watu wajinga[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Mbona haya mambo yapo toka zamani (elimu bure) Kwani kuna watu walikuwa wanalipa.
Hizi janja janja tu msitufanye wajinga.
Mnataka kuonesha umuhimu wa tozo wakati hapo nyuma tozo hazikuwepo na bado hiyo gharama haikuwapo
Nimeshangaa sana hata mimi. Ada zote zilifutwa na Magufuri.Mbona haya mambo yapo toka zamani (elimu bure) Kwani kuna watu walikuwa wanalipa.
Hizi janja janja tu msitufanye wajinga.
Mnataka kuonesha umuhimu wa tozo wakati hapo nyuma tozo hazikuwepo na bado hiyo gharama haikuwapo
Ndio ijitafakari upyaKwani kusomea private ni sawa na wanafunzi ambao ni jukumu la serekali ila wamesaidiwa na mzazi Kwa kwenda private!? Sasa Kwa nini wabaguliwe!?
Awamu ya 6?Usikalili hii ni Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan kwaiyo mambo ni tofauti awamu hii haina propaganda