2: Sisi tunasubiri ajira za 2014/2015 so sioni haja ya walimu kupaparika hovyo
3:Katibu mkuu mtendaji Tamisemi alisema serikali inatovuti zake ambazo inazitumiaa kutoa habari na watanzania wasiwe na wasiwasi na watajulishwa pindi ajira hizo zitakapotangazwa.mwisho wa kunukuuu.
4: Hiyo taarifa ipo mfumo wa swali hivyo mwandishi anaonekana kama amewatupia swali serikali kuhusu kuajiri walimu.
Namaliziaa kwa kumpa hongera nyingi sana mwandishi aliyeandia habari ile kwakutumiaa ubunifu wa hali ya juu katika kukumbusha serikali yetu kuhusu ajira zetu
ndugu zangu tusidanganyike na tangazo lililotolewa na wizara kupitia tovuti maana iliwapasa kufanya hivo kufuatia tangazo feki, kinachonipa wasiwasi ni wizara kutokuwa specific kwa maana hiyo lolote laweza tokea
lengo kuu ni kutaka kula za wasomi\walimu-kuna mgombea kutoka ccm atasema 'kwa kuwa ni bomu litakalo lipuka, basi nipeni kula zenu ili nihahakishe mnaajiliwa'.
siku hizi mambo yako kisiasa zaidi.