duuu nimepanic usimwambie babu
Kwa mujibu wa gazeti la tanzania daima,serikali yasitisha ajira mpya kwa walimu! duh...source gazeti la tanzania daima
Kwa mujibu wa gazeti la tanzania daima,serikali yasitisha ajira mpya kwa walimu! duh...source gazeti la tanzania daima
Kwa mujibu wa gazeti la tanzania daima,serikali yasitisha ajira mpya kwa walimu! duh...source gazeti la tanzania daima
Kwa mujibu wa gazeti la tanzania daima,serikali yasitisha ajira mpya kwa walimu! duh...source gazeti la tanzania daima
Hahahaha....
jaman hii ilishawekwa waz siku nyngi,
walimu imetosha wanahamia sekta zingine kuajiri,
mtazamo upo kwamba, walimu wataahiriwa kwa nafasi za kujaza sio rasmi.
Wastaafu, wanaofariki dunia, wasioripoti sehemu zao nk hizi ndizo nafasi zitakazikuw zinajazwa, ama na mahitaji mengine ya lazma na dharura.
mytake .
Hii itatumiwa kwa namna ya rushwa zaid
Ajira zipo!
Ajira zipo!