Serikali yafuta ajira za walimu mwaka huu

Status
Not open for further replies.
Hizo habari ni za kichochezi na maana zimeripotiwa na Tz Daima.
 
from mdau wa elimu mkubwa tu....Kaniambia sio kwamba haiajiri bali watakaopata ajira ni walimu wa math/science na idadi ndogo ya walimu wa geog/english upande wa arts na hao watapelekwa maeneo nyeti..

huo umbea ungekaa nao tuu moyoni kuliko kuweka habari za vijiweni humu...hapa si fesibuku!
 
Kama kweli Tamisemi watasema ajira kwa walimu zimesitishwa hakika serikali ya CCM itakua imejichimbia kaburi ktk uchaguzi mkuu ujao.

Mh wanazuoni zaidi ya 37 elfu wakaeee mitaaani hakika ni bomu hilo
 
nyie walimu acheni kulia lia

mnahisi nyie tu ndio mnahaki ya kuajiriwa hapa nchini
 
Katika hili serikali itachemka sana kiukweli
 
Wewe ndo umeondoa utata. Sisi watanzania vichwa ngum. Kichwa cha habari kilikuwa kwenye mfumo wa Question na siyo katika Statement

Ukisoma ndani ndo utagundua sio swali. Nunua tanzania daima na usome between lines
 
ajira mwezi huu baada ya ofisi ya raisi manejementi ya utumishi wa umma kutoa kibali-rfa magezetini.
 
Utumishi wameshatoa kibal cha ajira zkiwemo na za WALIMU pa1 na Lab. Technicians 34,000. So walimu 2we wapole, Coming soon. Source Tanzania daima 10/04/2015
 
Ingieni Tamisemi and then nenda kwenye taarifa ya kikao cha wafanyakazi, nenda kwenye paragraph ya chini kabisa ambayo ni ya mwisho. Soma wewe mwalimu utapata kujua nini hatima yako.
Katibu Mkuu amesema kumekuwepo na uvumi kwa baadhi ya mitandao ya kijamii kutangaza kuajiriwa walimu wapya kitu ambacho sio cha kweli na amewataka wananchi kutumia mitandao maalum ya Serikali yenye dhamana ya kutangaza ajira za watumishi nchini kwani kwa hivi sasa Wizara inasubiri kufanya upangaji wa watumishi walimu na mara fedha zao zitakapokuwa tayari watapangwa katika maeneo mbalimbali kulingana na uhitaji wa mahali husika.
 
Katibu Mkuu amesema kumekuwepo na uvumi kwa baadhi ya mitandao ya kijamii kutangaza kuajiriwa walimu wapya kitu ambacho sio cha kweli na amewataka wananchi kutumia mitandao maalum ya Serikali yenye dhamana ya kutangaza ajira za watumishi nchini kwani kwa hivi sasa Wizara inasubiri kufanya upangaji wa watumishi walimu na mara fedha zao zitakapokuwa tayari watapangwa katika maeneo mbalimbali kulingana na uhitaji wa mahali husika.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…