Tetesi: Serikali yafuta BRN, Magufuli sasa tufutie hii kitu inaitwa "Sekretariati ya Ajira"

Tetesi: Serikali yafuta BRN, Magufuli sasa tufutie hii kitu inaitwa "Sekretariati ya Ajira"

Serikali ingefuta mbio za Mwenge. Hilo la BRN walitakiwa wakae wafanye tathimini.
 
Wakiifuta uhangaike maofisini kutafuta kazi, utaona jito la jiwe. Sekretari at ya ajira ni chombo muhimu sana kukupatia ajira serkalini. Wako makini upendeleo hawana. Nawashukuru nilipata ajira kupitia wao kwa sifa zangu bila kumfahamu yeyote.
Mtoa Mada atakuwa uwezo wake ni mdogo ndo mana kila akiomba kazi PSRS anashindwa kufaulu kwenye usaili.

Ajipange upya,
 
Inasemekana serikali imechukua uamuzi wa kufuta BRN. Nipongeze serikali hii kwa hatua hiyo...

Ombi letu, tunaomba mfute na sekretariate ya ajira. Hawa majamaa hakuna wanachokifanya, wamekuwa na urasimu mkubwa sana na wabaguzi sana...

Magufuli chapa kazi. BRN ilikuwa jipu linalokula ela. Lingine ni hili sekreatriate ya ajira...

Mwisho, tunaomba sasa ufungulie ajira serikalini... Hali mbaya huku mitaani
Mkuu hapo kwenye seretarieti ya ajira umechemka, wale hawana upendeleo kabisa, wako vzuri sana labda mapungufu ya kuchelewesha mchakato ya kuitwa kazini unless otherwise big up kwao

Bunyebunye
 
Inasemekana serikali imechukua uamuzi wa kufuta BRN. Nipongeze serikali hii kwa hatua hiyo...

Ombi letu, tunaomba mfute na sekretariate ya ajira. Hawa majamaa hakuna wanachokifanya, wamekuwa na urasimu mkubwa sana na wabaguzi sana...

Magufuli chapa kazi. BRN ilikuwa jipu linalokula ela. Lingine ni hili sekreatriate ya ajira...

Mwisho, tunaomba sasa ufungulie ajira serikalini... Hali mbaya huku mitaani
Kusubiri ajira serikalini ni kupoteza muda tu
 
kama hoja nzito zikiwa zinawaishia ni bora muwe wachangiaji tu kuliko kujifanya wanzilishi wa nyuzi nyingi lakini chovu..ni ushauri tu mkuu...
Sasa imefutwa hiyo issue imeanzishwa kitu gani?
 
Una maana wanataka kufuta "Big Rubbish Nonsense"? Mbona wamechelewa sana?
 
Mwisho, tunaomba sasa ufungulie ajira serikalini... Hali mbaya huku mitaani......
refer to above point zingine mbwembwe
 
Kama unaijua vizuri BRN usishangilie kufutwa kwake. BRN ni mkakati mzuri sana, nafikiri tatizo lilikua kwenye usimamizi. BRN ingesimamiwa vizuri tungepiga hatua sana.

Ndio nini BRN mkuu?
 
Kama unaijua vizuri BRN usishangilie kufutwa kwake. BRN ni mkakati mzuri sana, nafikiri tatizo lilikua kwenye usimamizi. BRN ingesimamiwa vizuri tungepiga hatua sana.
Anything tangible from BRN?
 
Inasemekana serikali imechukua uamuzi wa kufuta BRN. Nipongeze serikali hii kwa hatua hiyo...

Ombi letu, tunaomba mfute na sekretariate ya ajira. Hawa majamaa hakuna wanachokifanya, wamekuwa na urasimu mkubwa sana na wabaguzi sana...

Magufuli chapa kazi. BRN ilikuwa jipu linalokula ela. Lingine ni hili sekreatriate ya ajira...

Mwisho, tunaomba sasa ufungulie ajira serikalini... Hali mbaya huku mitaani
wewe mngese unajua umuhimu wa hiyo secretariat ya ajira? hao ndo walioondoa nepotism kwenye ajira za umma. zamani ilikuwa mkuu wa taasisi yoyote ya umma akiamua kuajiri anachomeka ndugu yake au yeyote aliyekaribu naye. leo hii secretariat ya ajira imetuondolea upumbavu huu.
yaelekea nia yenu ni kuondoa yote aliyoyaanzisha aliyetangulia. nawahakikishia mtafeli vibaya sana.
hamjifunzi wanafunzi waliofukuzwa Udom wakisoma diploma ya ualimu? leo hii wamerudishwa kusoma diploma ileile tofauti ni vyuo tu ni mwishoni wataipata hiyo diploma.
nchi haiendeshwi kwa hisia na mihemko bali kwa taratibu na kanuni zilizowekwa kisheria. jifunzeni.
 
Sekreterieti ya ajira ni kila kitu kweny ajira
Hasa kwa watt masikini wasio na network
Nilienda mara moja nikapata kazi,
Wew utakuwa kilaza sana.
 
Inasemekana serikali imechukua uamuzi wa kufuta BRN. Nipongeze serikali hii kwa hatua hiyo...

Ombi letu, tunaomba mfute na sekretariate ya ajira. Hawa majamaa hakuna wanachokifanya, wamekuwa na urasimu mkubwa sana na wabaguzi sana...

Magufuli chapa kazi. BRN ilikuwa jipu linalokula ela. Lingine ni hili sekreatriate ya ajira...

Mwisho, tunaomba sasa ufungulie ajira serikalini... Hali mbaya huku mitaani
Inaonekana wew nae ni wa kuimba mbele kwa mbelex2, mtaisoma nambax2.... Endelea kuomba hayo maombi yako wakati utafka akili yako itafunguka[emoji124] [emoji124] [emoji124]
 
Sekreterieti ya ajira ni kila kitu kweny ajira
Hasa kwa watt masikini wasio na network
Nilienda mara moja nikapata kazi,
Wew utakuwa ****** sana.
kweli mku m mwenyewe nimeenda mara moja nikapata kazi mtoa mada amezoea kuchomweka sasa anataka ifutwe ili apeleke vyeti vyake kwa mjomba wake
 
Tena natamani sekretarieti ya ajira isimamie ajira hata za police,uhamiaji,magereza nk
 
Wakiifuta uhangaike maofisini kutafuta kazi, utaona jito la jiwe. Sekretari at ya ajira ni chombo muhimu sana kukupatia ajira serkalini. Wako makini upendeleo hawana. Nawashukuru nilipata ajira kupitia wao kwa sifa zangu bila kumfahamu yeyote.

Walioajiriwa serikalini kwa kupitia sekretariat ya ajira wako vizuri sana, ila waliokuja kwa vimemo mhhhhhhhhh! Majanga
 
Back
Top Bottom