Serikali yahakikishiwa madaktari internship 700; waliogoma 400 kufutiwa leseni ya udaktari?

Serikali yahakikishiwa madaktari internship 700; waliogoma 400 kufutiwa leseni ya udaktari?

umetumwa kuharisha ujinga humu eee, hao interns wataenda kufanya kazi chini ya nani wakati madaktari bingwa (specialists) na wanaosomea ubingwa nao wamegoma, si mnataka watoto wa watu watuue wananchi pumbavu zenu, kawaambie waliokutuma wakokotoe na kurekebisha primary problem kwanza!

2nd taratibu za kulipa mkopo zinaanza tu pale mtu anapokuwa na ajira, na deni halina riba. Still wanaweza kuajiriwa kwenye mashirika mengine vilevile kama ya bima, na miradi mbalimbali ambayo ni health related, hailazimu mtu awe amefanya Internship.... kwa taarifa yako hata Mh. Mwinyi , waziri wa Afya hakumaliza internship Muhi2 wakati wake......

Aliona jamaa wanambana akaamua kurudi nje kufanya master's ili kuua kipengele cha intern!
 
serikali ya ccm ndo itafuta degree za hawa intern, lkn vichwani mwao udaktari au ujuzi utabaki palepale! M4C itawarejeshea udaktari wo 2015 nchi itakapokombolewa. Pinda upo hapo nchi si yenu hii mkafanya mnayotaka
 
serikali ya ccm ndo itafuta degree za hawa intern, lkn vichwani mwao udaktari au ujuzi utabaki palepale! M4C itawarejeshea udaktari wo 2015 nchi itakapokombolewa. Pinda upo hapo nchi si yenu hii mkafanya mnayotaka

Private sector unaijua au unabwabwaja
 
Maamuzi ni maamuzi, haijalishi yanafaa kwa kiasi gani. Shukrani kwa kutupa wazo jipya la kufikiria. Naanza kujiuliza if......... if ..... if...... if ........ Tired! system resume........... liwalo na liwe, narudi shamba, mjini mnauza mno maneno bila hata kufikiri
 
hajui udaktari maana yake ni nini! Ni zaidi ya leseni na zaidi ya chama, kiwe cha magamba au kingine chochote. Ni moja kati ya noble professions ambazo hao waliokutuma kwa ubongo wao hawauwezi, na ndo maana thamani yake hawaijui.
 
Mahamuzi haya yanatija kwa list hiliotolea leo ya madaktari?
 
Back
Top Bottom