Serikali yaiagiza TCRA kufatilia wanaouza vocha tofauti na bei elekezi

Serikali yaiagiza TCRA kufatilia wanaouza vocha tofauti na bei elekezi

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760

Naibu Waziri wa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhandisi Maryprisca Mahundi amesema Serikali imetoa maelekezo kwa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kufuatilia Wafanyabiashara wanaouza vocha za kukwangua kinyume na bei elekezi.

Amesema hayo wakati akijibu swali la Mbunge Tunza Malapo aliyehoji suala hilo, pia JamiiForums.com Wadau kadhaa wakiwemo kutoka Kagera na Songwe (Mji wa Mlowo, Mbozi) walidai kuna changamoto hiyo ambayo imekuwa kero kwa Wanunuaji wakidai Vocha ya Tsh. 500 inauzwa Tsh. 600 au ya Tsh. 1,000 inauzwa Tsh. 1,200.

Pia soma
 
Kwani si wamtume yule Robot wao nani vile sijui Lucy ama jina gani vile akawakamate ama awapatie habari moja kwa moja, kwa nini TCRA wasumbuke😆😆
 
DODOMA: Naibu Waziri wa Wizara ya Habari, Mawasiliano na #Teknolojia ya Habari, Mhandisi Maryprisca Mahundi, amesema wametoa maelekezo kwa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (#TCRA) kufuatilia Wafanyabiashara wanaouza vocha za kukwangua kinyume na bei elekezi

Mei 2024, Wadau kadhaa wa JamiiForums.com kutoka Kagera na Songwe (Mji wa Mlowo, Mbozi) walidai Vocha ya Tsh. 500 inauzwa Tsh. 600 na ile ya Tsh. 1,000 inauzwa Tsh. 1,200 na kuwa hali hiyo ni kero kwa Wanunuaji wengi

Soma Serikali yaiagiza TCRA kufatilia wanaouza vocha tofauti na bei elekezi

#DigitalRights #DigitalWorld #ServiceDelivery #JamiiForums
 
DODOMA: Naibu Waziri wa Wizara ya Habari, Mawasiliano na #Teknolojia ya Habari, Mhandisi Maryprisca Mahundi, amesema wametoa maelekezo kwa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (#TCRA) kufuatilia Wafanyabiashara wanaouza vocha za kukwangua kinyume na bei elekezi

Mei 2024, Wadau kadhaa wa JamiiForums.com kutoka Kagera na Songwe (Mji wa Mlowo, Mbozi) walidai Vocha ya Tsh. 500 inauzwa Tsh. 600 na ile ya Tsh. 1,000 inauzwa Tsh. 1,200 na kuwa hali hiyo ni kero kwa Wanunuaji wengi

Soma Serikali yaiagiza TCRA kufatilia wanaouza vocha tofauti na bei elekezi

#DigitalRights #DigitalWorld #ServiceDelivery #JamiiForums
Bro hili suala mbona naskia hadi Dar lipo vocha zimepanda!?
 
Back
Top Bottom