Serikali yaichukua rasmi kampuni ya reli (TRL)


Only keeping record clear!!!

Kampuni/Taasisi iliyokopa inaitwa TRL (Ambayo ni ubia kati ya Serikali na RITES), aliyekopa WB sio GoT wala RITES.

Okay endelea na mjadala mkuu!!!

Angalizo: TRL ni Tanzania Railways Limited.
 
Kachero!
Thumbs up nakubaliana na wewe mia kwa mia. Mchezo wa CCM tunaufahamu na watu kama wewe na mimi tuko wachache mno. Hilo dongo la macho sasa tumelichoka walianza na akina Dr.Idris Rashid na marehemu NBC mshirika akiwa Yona na Mkapa (ABSA naapa walipewa ile Bank ya TAIFA ya BAIASHARA bure kabisa hawakulipa hata ndururu.) Wakaendelea na upuuzi huo kupitia TTCL via CELETEL waliojidhamini wenyewe na mshirika wao Dr.Salim Ahmed Salim (zile dola USD 60million kwa ajabu walipewa na jambazi Mwandosya for re-capitalization it means they paid nothing apart from the disputed USD 5million sijui kama walitoa na binti yake kasomeshwa and this bastard is blaffing about programu ya maji as a minister bado you keep laughing with him badala ya kuwa keshanyongwa!!shame on Jakaya) iliyozaa Zain,Tanesco using TPDC na SONGAS (Enzi ya mzee Ruksa mradi wa gesi ya Songosongo ni IDA credit fully guaranteed by the GOVT under Tanseco hawa song hewa wametoka wapi its just internal CCM mafia hawa PANAFRICA NI nani??)&Net group, Dawasa ikazaa City water waliochukua USD 150million from the world Bank wakmpatia Nasoro wa Super Doll mshirika wa Malecela , Mkapa na Marehemu Dr. Omar Ali Juma walivyogawana mashamba ya Mtibwa na Kagera Sugar, Ile ya Kilombero wakapewa wajanja wengine wakaingia ubia na ILLOVO from RSA. Actually the list is Long hata Kiwira; go on utakuta TICTS ni vivyo hivyo wasaniii na maswahiba wa CCM you just mention any uoza ni wa serikali.... KIA... General Tire...Loliondo...the Barrick Gold,,,,Meremeta!!!!!! Now I feal like crying since the list is tooo long....
 
Jamani ni vema mawazo ya watanzania yakaheshimiwa tokea awali.
Tunafikia katika hali mbaya kwa sababu ya upuuzi wa wachache wenye dhamana na uongozi wa nchi hii tena ambao tumewaweka wenyewe. Ifike mahali wazingatie ushauri wetu badala ya kujiona wao wanafaa sana kutoa maamuzi ya nchi hii katika kila kitu.
Tutaendelea kutoa na kurudisha mpaka lini vitu vyetu wenyewe?????????
Hivi hatuna wachambuzi makini mpaka tuendelee kuyarudia matapishi yetu wenyewe mara kwa mara????????????????
aibu gani hii watanzania tunafanya jamani!!!!!!!!!!!!!
 
Inaniwia vigumu sana kuamini kuwa hawa watawala wetu huwa wanafikiria implications za maamuzi yao kwa Taifa letu!! Serikali inaposema kuwa itanunua hizo hisa 51 za RITES, wanafanya hivyo kufuatana na mkataba walioingia na RITES hapo awali au unilaterally wanavunja mkataba na kutaka hao jamaa wauze hizo shares zao against their will? Kama maamuzi haya ya serikali yanavunja mkataba wa awali , itatubidi tuwalipe hawa wahindi fidia kubwa sana ambayo itatufanya tushindwe kulifufua hilo shirika la reli!! Kuvunjika kwa ushirikiano na Rites kutalifanya zoezi la kupata muwekezaji mwingine kuja kuingia ubia na serikali kuwa gumu sana na pengine asitokee hata mmoja; experience ya ATCL ni mfano hai tulionao, kwahiyo ni busara kwa serikali kuzingatia maoni haya na kuanza kutayalisha PLAN B ambayo itatekelezwa asipotokea muwekezaji mwingine. In the interim ningeshauri serikali iwatumie wataalam wetu wa mambo ya Usafirishaji ambao wapo lakini hatuwatumii kusaidia kuliendesha shirika hili badala ya kutegemea wizara kufanya kazi hii kwani ukweli ni kwamba wizara husika haina capacity ya kushuhulikia challenge kama hii. Shop around, wataalam wa transport sector wanaotumiwa na mashirika ya nje tunao humu humu nchini!!
 
Inafedhehesha sana nchi hii utadhani haina wasomi tena wasomi hao watoto wa maskini leo vijana hawa wamesahau shida na taabu za wazazi wao vijijini ambao hawawezi kufikishwa Ocean Rd. kuwa tiba ya kansa ya mfuko wa uzazi kwa wajinga wachache katika serekali wanaopoteza fedha za nchi hii bila soni kama Mramba na wenzake wamepelekwa mahakamani kwa matumizi mabaya ya ofisi kwa nini na hawa wanaoingia mikataba kama vipofu wasipelekwe nao mahakamani ?
Kupelekwa Mahakamani ni hatua ya kwanza Kufungwa ni lazima, gereza litawafanya wasomi kujua wajibu wao.Wako wapi wenye ujasiri huo kwani nchi hii haina mwenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…