Serikali yaingiza mabilioni ya shilingi Kesi za Uhujumu Uchumi 2020

Serikali yaingiza mabilioni ya shilingi Kesi za Uhujumu Uchumi 2020

Haya makosa kwakweli kuna watu wengine walizidi aisee. Walitunyanyasa sana na hela chafu hadi wengine tukawa tunaonekana hatujui kupambana. Wacha wazikusanye tu
Naona zimerudi kwako
 
Hiyo
Haya makosa kwakweli kuna watu wengine walizidi aisee. Walitunyanyasa sana na hela chafu hadi wengine tukawa tunaonekana hatujui kupambana. Wacha wazikusanye tu
Hiyo haikufanyi uwe "mpambanaji" WALA HAIONGEZI MLO MEZANI KWAKO1
 
Toka lini plea bargain ikasimamiwa na DPP kwenye nchi inayofuata "Rule of Law"? Unafanyaje plea bargain kwenye mazingira ambayo upelelezi haujakamilika?

Ukweli ni kwamba plea bargain inayofanywa iko kinyume cha sheria na ni kichaka cha kujipatia fedha toka kwa waliolengwa. Ni unyang'anyi wa mchana unaofanywa purposefully na Jiwe na Biswalo Mganga.

Kwa mapambano ya ufisadi ni uwongo mtupu. Mafisadi aliokuwa anapanga kuwaundia Mahakama ya Mafisadi hajawagusa na as such hata Mahakama yenyewe imekuwa "IRREREVANT".

Sana sana wale anaowachukua kwa sababu mbali mbali ametupa rumande bila dhamana kwa miaka 4 sawa kwa makosa ya kutakatisha fedha. Wakati huo huo DPP anasema upelelezi haijakamikika.
 
Mimi nilizonazo zinanitosha mpwa. Sina kona kona ila hata mimi naogopa TRA na DPP kuliko nnavyoogopa Simba miaka hii

Na uoga wako wote ni kuwa ukifungwa mkeo watu watakusaidia umiliki!
 
Kwenye budget iliyosomwa mwaka huu na Mpango mabilioni yote yaliyokusanywa kama faini kutoka kwa waliobambikiwa kesi FAKE hayakuripotiwa hata senti moja. Kwa hiyo pesa hiyo inapigwa juu kwa juu na majizi na mafisadi ndani ya Serikali hii ambayo haikupewa ridhaa na Watanzania.
Kuna yule jamaa aliyekuwa anatengeneza mamilioni ndani ya dakika kadhaa.

Alirudisha cash ofisi ya DPP halafu computer yenye records za marejesho ikapotea ofisini kwa DPP.

Anaitwa Muhamed Yusufali

View attachment 1663033
 
Na uoga wako wote ni kuwa ukifungwa mkeo watu watakusaidia umiliki!
Uoga wangu ni kupoteza vitu nilivyovitolea jasho kwa zaidi ya miaka 20 and Yes mke wangu ni mmoja wa hivyo vitu(mtu??)
 
Toka lini plea bargain ikasimamiwa na DPP kwenye nchi inayofuata "Rule of Law"? Unafanyaje plea bargain kwenye mazingira ambayo upelelezi haujakamilika?...
Mkuu Marekani kwa mfano Plea Bargain inasimamiwa na idara gani?
 
Kama unayo hela utakuwa washkaji zako
Hakuna mtu ambaye anapenda kutoa hela yake aliyoihangaikia kwa jasho kwa sababu zisizokua na kichwa wala miguu halafu wawe washkaji zako.

Ukizitoa na hazikuumi labda basi ulizipata kimagumashi/kirahisi
 
Uoga wangu ni kupoteza vitu nilivyovitolea jasho kwa zaidi ya miaka 20 and Yes mke wangu ni mmoja wa hivyo vitu(mtu??)
Ukifa je, au na mkeo atazikwa na ww? Ukiparalize je?
 
Back
Top Bottom