Serikali Yaionya Yanga. Yamtaka Yusuf Manji Asithubutu Kuichezea Serikali

Serikali Yaionya Yanga. Yamtaka Yusuf Manji Asithubutu Kuichezea Serikali

Anko wangu nakazia nipo upande wako. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Aaahh sana
Akilimali ndo bora
tangu Manji yupo india Akilimali ni yanga damu
 
mzalendo mwanayanga uliyetukuka mzee akilimali kura yangu kwako husiwe na wasiwasi
 
Safi Waziri Mwakyembe, pia tupige marufuku Wahindi kugombea uongozi kwenye clubs zetu, iandikwe na kupelekwa Bungeni, pili Mwanachama wa Yanga/Simba lazima pia awe mkazi wa SDar na siyo mtu yuko Kigoma anajifanya anaipenda sana Simba/Yanga, kwani huko hakuna timu?

Hayo ni maoni yangu!
 
Acha kufananisha CUF na vitu vya kipuuzi!
Yanga ina katiba yake, na ili jambo hili la uchaguzi likamilike, lazima katiba ya Yanga ifuatwe, tuache mihemuko ya wanasiasa, kwenye CUF wapo kimya mpaka leo, lakini kwenye Yanga wanatoa povu. Yanga ina washabiki wengi kushinda CUF na Yanga ipo kabla ya hata huyo mtoa povu wa serikali
 
Hii nimeipenda, haya Waziri hili unalisemeaje? Tena wakati profesa anajuzulu CUF ulikuwa waziri wa sheria na katiba, hebu tupe ufafanuzi utofauti wa katiba hizi mbili, ya CUF na ya Yanga mwenyekiti anapojiuzulu kwa barua, ni nani anayetakiwa kuthibitisha au kukataa kujiuzulu kwake. Acheni ushabiki wa u-Yanga na u- Simba ndio maana mpira wetu unapiga mark-time
Hujajibiwa ushatoa conclusion
 
Yanga mkitaka kuikomoa serikali nendeni mahakamani tufungiwe na FIFA na CAF...hata mashindano ya AFCON under 17 tukose kuandaa..tukifuzu Cameron tushindwe kwenda..tutaheshimiana..#shubamitikengezao
 
Yanga ni klabu ya wanachama na si tasisi ya serikali
 
Wale wapigaji na wapenda vya mteremko wanakesha wakimlamba Manji hawako kwa akijili ya Maslai ya timu bora mzeevakilimali awe Mwenyekiti anaona mbali
 
Mashabiki wa yanga vilaza sana. Si kidogo...tena ni mandondocha. Manji alijiuzuru kwa barua na amekaa mbali na yanga muda mrefu tu.lakin kuna mijitu ina aamini na kulazimisha kuwa yeye bado ni mwenyekiti.mwenyekiti wa ndoa zao?

Kama bado anaihitaj yanga si achukue fomu agombee? Ukizeeka ukawa na njaa hata akili inahama.mkuchika naye kama bwege...anakuja kusoma barua yake toka kwa manji.toka lini manji hawezi kuongea?

Badala kujiandaa kikazi kuisaidia yanga....mijitu mifala inakaa kumlilia manji.kama unampenda sana manji nenda kaolewe naye ukae naye kwako.
 
Back
Top Bottom