Ashura9
JF-Expert Member
- Oct 21, 2012
- 740
- 485
Serikali yaipiga marufuku bodi ya shirika la nyumba NHC kuhusu ujenzi wa miradi mipya ya kibiashara.
Waziri wa Ardhi,Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mh.Willium Lukuvi amepiga marufuku bodi ya shirika la Nyumba la Taifa kuruhusu ujenzi wa miradi mipya ya kibiashara.
Sambamba na hilo Waziri Lukuvi amepiga marufuku Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) kupandisha kodi kwa nyumba za serikali bila kumhusisha.
Aidha Waziri Lukuvi ameitaka NHC kujenga nyumba za bei nafuu kwa kuwa zilizopo sasa ni ghali kwa watanzania walio wengi,hivyo kushindwa kumudu gharama hizo.
Maagizo hayo ameyatoa wakati akizungumza na bodi ya NHC Jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Ardhi,Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mh.Willium Lukuvi amepiga marufuku bodi ya shirika la Nyumba la Taifa kuruhusu ujenzi wa miradi mipya ya kibiashara.
Sambamba na hilo Waziri Lukuvi amepiga marufuku Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) kupandisha kodi kwa nyumba za serikali bila kumhusisha.
Aidha Waziri Lukuvi ameitaka NHC kujenga nyumba za bei nafuu kwa kuwa zilizopo sasa ni ghali kwa watanzania walio wengi,hivyo kushindwa kumudu gharama hizo.
Maagizo hayo ameyatoa wakati akizungumza na bodi ya NHC Jijini Dar es Salaam.