Serikali basi Wasibane basi uhuru wa kutoa habariWizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari imeikabidhi Taasisi Isiyo ya Kiserikali ya Jamii Forums Cheti cha Shukrani kwa kutambua uamuzi wake wa kuwa Mdhamini wa Kongamano la Habari lililofanyika leo Desemba 17, 2022 jijini Dar es Salaam.
View attachment 2450031
Kwa kuwalilia, kuwaomba au kuwarai?Serikali basi Wasibane basi uhuru wa kutoa habari
yote hayo hupati mpaka mapiganoKwa kuwalilia, kuwaomba au kuwarai?
Hakina hata nembo ya serikaliWizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari imeikabidhi Taasisi Isiyo ya Kiserikali ya Jamii Forums Cheti cha Shukrani kwa kutambua uamuzi wake wa kuwa Mdhamini wa Kongamano la Habari lililofanyika leo Desemba 17, 2022 jijini Dar es Salaam.
View attachment 2450026
Yote yako mikononi mwetu ni kuamua tu kuyamiliki kuwa ndivyoyote hayo hupati mpaka mapigano
brazaj uko macho? mimi nakwenda shamba now , kimvua kinanyesha niwahi kurudi kwenda kanisani. Naona uko JF!Kwa kuwalilia, kuwaomba au kuwarai?
hakuna atakaye achia madaraka kwa maridhiano. Ni pressure by whatever route! Route ya maridhiano ikishindwa, then there is only one option...Yote yako mikononi mwetu ni kuamua tu kuyamiliki kuwa ndivyo
Mungu Ibariki Jamii ForumsWizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari imeikabidhi Taasisi Isiyo ya Kiserikali ya Jamii Forums Cheti cha Shukrani kwa kutambua uamuzi wake wa kuwa Mdhamini wa Kongamano la Habari lililofanyika leo Desemba 17, 2022 jijini Dar es Salaam.
View attachment 2450026
Nilijiuliza hili swali baada ya kuona kichwa cha Habari.Wanapata wapi Hela ya kudhamini?
brazaj uko macho? mimi nakwenda shamba now , kimvua kinanyesha niwahi kurudi kwenda kanisani. Naona uko JF!
hakuna atakaye achia madaraka kwa maridhiano. Ni pressure by whatever route! Route ya maridhiano ikishindwa, then there is only one option...
Mungu ibariki JFWizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari imeikabidhi Taasisi Isiyo ya Kiserikali ya Jamii Forums Cheti cha Shukrani kwa kutambua uamuzi wake wa kuwa Mdhamini wa Kongamano la Habari lililofanyika leo Desemba 17, 2022 jijini Dar es Salaam.
View attachment 2450026
Hivi ile kesi serikali iliyo wafungulia JF imeishia wapi?Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari imeikabidhi Taasisi Isiyo ya Kiserikali ya Jamii Forums Cheti cha Shukrani kwa kutambua uamuzi wake wa kuwa Mdhamini wa Kongamano la Habari lililofanyika leo Desemba 17, 2022 jijini Dar es Salaam.
View attachment 2450026