Serikali yakanusha kukamatwa kwa Mwandishi Dickson Ng'hily na Mkuu wa Wilaya ya Ubungo, yasema mwandishi hakupigwa wala kuvunjiwa simu yake

Serikali yakanusha kukamatwa kwa Mwandishi Dickson Ng'hily na Mkuu wa Wilaya ya Ubungo, yasema mwandishi hakupigwa wala kuvunjiwa simu yake

DC wa ubungo hawezi kufanya kazi kwa kuangalia ma DC wengine wanafanyaje. This country is a failed state, a third world banana republic, viongozi wengi ni uozo, hawafanyi kazi zao. Tunataka viongozi ambao watajaribu kuwa tofauti. DC wangu wa huku crime infested Mbagala Rangi Tatu wala simjui, sijawahi kumsikia. DC wa Ubungo hawezi kumuiga mtu kama huyu!

Kuthibitisha crime mahakamani sio kazi ya DC. Kazi yake ni kumuagiza OCD aanzishe mchakato wa kisheria kwa kukamata!

Mabosi wa Polisi wa Ulaya wakisema tunakamata wahalifu prosecutor anawaachia, wananchi wana protest! Prosecutor anatimuliwa!

Utasemaje huwezi kuthibitisha jinai mahakamani ? Kwa nini ipo kwenye buku la makosa ya jinai?

We want more of the tough-on-crime, quality of life-minded district executives like Ubungo's Hassan Bomboko.
Kwenye suala la machangudoa huyo DC alikurupuka.
 
DC wa ubungo hawezi kufanya kazi kwa kuangalia ma DC wengine wanafanyaje. This country is a failed state, a third world banana republic, viongozi wengi ni uozo, hawafanyi kazi zao. Tunataka viongozi ambao watajaribu kuwa tofauti. DC wangu wa huku crime infested Mbagala Rangi Tatu wala simjui, sijawahi kumsikia. DC wa Ubungo hawezi kumuiga mtu kama huyu!

Kuthibitisha crime mahakamani sio kazi ya DC. Kazi yake ni kumuagiza OCD aanzishe mchakato wa kisheria kwa kukamata!

Mabosi wa Polisi wa Ulaya wakisema tunakamata wahalifu prosecutor anawaachia, wananchi wana protest! Prosecutor anatimuliwa!

Utasemaje huwezi kuthibitisha jinai mahakamani ? Kwa nini ipo kwenye buku la makosa ya jinai?

We want more of the tough-on-crime, quality of life-minded district executives like Ubungo's Hassan Bomboko.
Nchi imeoza hii mkuu
 
Back
Top Bottom