Serikali yakataa ombi la CHADEMA la kutaka uchaguzi wa Serikali za Mitaa urudiwe, Waziri Mkuu asema wagombea ndio walipaswa kukata rufaa

Serikali yakataa ombi la CHADEMA la kutaka uchaguzi wa Serikali za Mitaa urudiwe, Waziri Mkuu asema wagombea ndio walipaswa kukata rufaa

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Waziri Mkuu Mh Majaliwa amesema serikali haiwezi kukubali kurudiwa kwa uchaguzi wa serikali za mitaa kama ilivyoombwa na Chadema kwa sababu kila uchaguzi una kanuni na taratibu zake.

Majaliwa amesema Wagombea wa Chadema ndio waliopaswa kulalamika na kukata rufaa kwa mujibu wa sheria na sio Mbunge kuja kuomba bungeni uchaguzi urudiwe.

Chanzo: ITV habari!
 
Mkakati ni mmoja tu..kutengeneza the only and only one ruling class for the whole life either by peace or by force,..naiona Tanzania yetu ikienda kugawanyika katika utwana na umangimeza. Kama wewe mwanao atasoma vipi lakn sio mwanachama wa Chama fulani basi hatapata nafasi ya kutumikia nchi yake...The ruling class will create the rulers not leaders!! Mark my words!! Inauma sana!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkakati ni mmoja tu..kutengeneza the only and only one ruling class for the whole life either by peace or by force,..naiona Tanzania yetu ikienda kugawanyika katika utwana na umangimeza. Kama wewe mwanao atasoma vipi lakn sio mwanachama wa Chama fulani basi hatapata nafasi ya kutumikia nchi yake...The ruling class will create the rulers not leaders!! Mark my words!! Inauma sana!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Where can I mark your words!

Just take my simple advice, if you can't beat them, join them!
 
maana ya chama ni nini? bila chama hakuna mgombea tofauti na hapo ni batili... hakika mkoloni mweusi ni hatari sana.
 
Asante sana waziri mkuu ,uelewa wa chadema ni mdogo sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Fisiem Ndiyo tabia zenu vilaza nyie
tapatalk_1549982209382.jpeg
tapatalk_1578598866010.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huh! Walisusia uchaguzi wakiwa na "alternative" ya kuomba uchaguzi urudiwe? They must be joking!!!
 
Back
Top Bottom