Serikali yakemea watumishi wa umma wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja

Fuatilieni uchaguzi achaneni na mambo ya ajabu ajabu yasiyo na maslahi ya umma
 
Ukiona serikali haiwezi kudeal na matatizo ya kiuchumi na kijamii yanayoaffect mtu mmoja mmoja na nchi nzima as a whole...afu inataka ideal na watu wanafanya nini chumbani kwao usiku.. ujue tuna safari ndefu sana kama taifa
Akili yao ndipo imegota hapo! Hakuna degree, Masters, PhD wala nini! Copy and paste tu hapo!
 
Ukiona serikali haiwezi kudeal na matatizo ya kiuchumi na kijamii yanayoaffect mtu mmoja mmoja na nchi nzima as a whole...afu inataka ideal na watu wanafanya nini chumbani kwao usiku.. ujue tuna safari ndefu sana kama taifa
Ni muhimu pia viongozi wetu watufafanulie maadili ya mtanzania ni yepi. Hatusikii viongozi wetu wakikemea (kutoka moyoni) ubadhirifu na wizi wa mali ya umma, wizi wa kura, rushwa, uvunjifu wa haki za binadamu nk kama ni ukiukaji wa maadili ya Mtanzania. Hebu angalia kinachaendelea kwenue unadikishaji kwenye daftari la wakaazi.
 
Safi sana!
Inahitajika misimamo kama hii.
 
Si ndo hapo....hayo maadili yashakuwa chaka la kucensor watu
 
Achen makasiriko na unafiki, hamjawahi kula kiboga jaman? Tufanye mambo ya msingi mapenzi ni faragha ya mtu tusiingiliane kwa kweli
 
Sasa serikali isiyokuwa na macho wala masikio imejuaje! Nachoweza kusema aliyelianzisha na kuisingizia serikali naye ni mshiriki bila kushiriki asingelijua hili kama sisi ambavyo hatuwajui huku mitaani tunakoishi nao.
 
Sasa serikali isiyokuwa na macho wala masikio imejuaje! Nachoweza kusema aliyelianzisha na kuisingizia serikali naye ni mshiriki bila kushiriki asingelijua hili kama sisi ambavyo hatuwajui huku mitaani tunakoishi nao.
Unafiki tuu huko wanafanya hakuna mtu asiyefanya huko ni wachache sanaa so kila mahali kuna watuu sema tu usiri, hata huyo aliyeleta hii issue aseme kama hajawahi kula tigoo hahah
 
MHESHIMIWA Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma

Nikukumbushe:

Utumishi wa Umma na Utawala wa nchii hii hauendi kwa mila na desturi.

Nchi hii inaendeshwa na UTAWALA WA SHERIA

Pamoja na

KANUNI NA MIIKO YA KIMAADILI YA UTUMISHI ILIYOANDIKWA KWENYE MAKARATASI

Na sio Mila na Desturi

Unakwama wapi Katibu Mkuu ???????

Sisitiza sheria, kanuni na maadili ya utumishi YALIYOANDIKWA VITABUNI
 
Anataka aonekane na yeye kasema kituu, anaingilia faragha za watu. Kuna habari za kijinga jamani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…