Serikali yakiri kuachana na madai ya Tsh. Trilioni 360 za Makinikia

Serikali yakiri kuachana na madai ya Tsh. Trilioni 360 za Makinikia

Magufuli aendelee kuungua moto mkali huko aliko. Hizi takwimu za UWONGO alizopika na Prof Mruma ndizo alizotumia kumjeruhi Tundu Lisu. Magufuli aliwaaminisha watu kuwa tunawadai ACACIA USD 190 billion kutokana na ASUMPTION kuwa container moja la 20ft la MAKINIKIA lina 7Kg za dhajabu wakati ukweli ni kwamba lina 0.7Kg. Akawapa matumaini hewa Watanzania na kwa jinsi WATANANIA wengi walivyo wajinga wakamuona ni shujaa au mkombozi au MZALENDO.

Hizo Tsh 360 Trillion au USD 190 Billion kwa exchange rate ya wakati ule hazipo popote. Ni UJUHA tu kuamini taarifa kama hizo. Magufuli alikuwa anadanganya mpaka Shetani anaogopa
Rubbish
 
Majibu hayo kutoka kwa Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba yamekuja baada Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina kuuliza sababu za Serikali kupokea Tsh. Bilioni 700 kutoka BARRICK na kuachana na mashauri 1,097 ya kesi ya madai ya Tsh. Trilioni 360 za usafirishaji Makinikia.

Akijibu swali hilo Dkt. Mwigulu amesema baada ya kuibuka mzozo kati ACACIA na Serikali, kampuni ya ACACIA iliiuzia kesi hizo BARRICK na Rais Magufuli aliunda timu ya kufanya majadiliano mwaka 2018 ambapo makubaliano yaliisha mwaka 2020 na sherehe zilifanyika Ikulu mbele ya Rais Magufuli.

Waziri Mwigulu amesema “Tanzania tukakubali kuachilia Tsh. Trillioni 360 tumalize shauri lile na tukaunda kampuni ya Twiga na nchi nzima tukasherehekea, Kampuni ile ina ubia wa 16% na Serikali ina asilimia 84 kwa Barrick".
 
Sasa kwa nn tulikamata makinikia, kwanini TMAA ilivunjwa, sababu za kukamata zilikuwa ni zipi, na je hizo sababu hazipo tena. Kwanini watumishi wa TMAA walishushwa mishahara
 
Majibu hayo kutoka kwa Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba yamekuja baada Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina kuuliza sababu za Serikali kupokea Tsh. Bilioni 700 kutoka BARRICK na kuachana na mashauri 1,097 ya kesi ya madai ya Tsh. Trilioni 360 za usafirishaji Makinikia.

Akijibu swali hilo Dkt. Mwigulu amesema baada ya kuibuka mzozo kati ACACIA na Serikali, kampuni ya ACACIA iliiuzia kesi hizo BARRICK na Rais Magufuli aliunda timu ya kufanya majadiliano mwaka 2018 ambapo makubaliano yaliisha mwaka 2020 na sherehe zilifanyika Ikulu mbele ya Rais Magufuli.

Waziri Mwigulu amesema “Tanzania tukakubali kuachilia Tsh. Trillioni 360 tumalize shauri lile na tukaunda kampuni ya Twiga na nchi nzima tukasherehekea, Kampuni ile ina ubia wa 16% na Serikali ina asilimia 84 kwa Barrick".
Heri nusu shari kuliko shari kamili. Tumepata hicho kiasi kiduchu lakini kuibwa kwa makinikia kumesitishwa na sisi tumepata asilimia 16 ya kampuni mpya. Hiyo ni nzuri sana.
 
Magufuli aendelee kuungua moto mkali huko aliko. Hizi takwimu za UWONGO alizopika na Prof Mruma ndizo alizotumia kumjeruhi Tundu Lisu. Magufuli aliwaaminisha watu kuwa tunawadai ACACIA USD 190 billion kutokana na ASUMPTION kuwa container moja la 20ft la MAKINIKIA lina 7Kg za dhajabu wakati ukweli ni kwamba lina 0.7Kg. Akawapa matumaini hewa Watanzania na kwa jinsi WATANANIA wengi walivyo wajinga wakamuona ni shujaa au mkombozi au MZALENDO.

Hizo Tsh 360 Trillion au USD 190 Billion kwa exchange rate ya wakati ule hazipo popote. Ni UJUHA tu kuamini taarifa kama hizo. Magufuli alikuwa anadanganya mpaka Shetani anaogopa

Cha kuchekesha biashara, mtaji na kila kitu uchanganye Barrick na ACACIA hawajahi kufikia $192b.
 
Bil.700 ililipwa kwa mikupua 3,tafuta habari zake zipo na walikuwa wanatangaza.
Jibu swali la zilipo trillion 360. Hizi bilioni 700 hazikuwepo kwenye swali la msingi kwani ni jibu tofauti! Kama kweli una jibu zizungumzie kidogo zilipo trillion 369 tukuelewe!
 
Back
Top Bottom