Jambo Kubwa
Senior Member
- Jan 21, 2017
- 156
- 224
Noah kila Mtanzania, hata baskeli hatujapata
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yupo wapi ili tujue hana uelewa! That’s rubbishNasisitiza ni takataka, hana uelewa wowote,trilioni imemkaa kichwani.
Watanzania walio wengi ni wajinga na wewe ni mmoja wapo. Hili Jukwaa siyo kiwango chako, rudi Facebook au ukiwa huku nenda mahusiano na Jamii. wewe Blackcornshman ni kichwa cha panzi huwezi elewa vitu vya humuChuki binafsi tu, hakuna unachoelewa,Watanzania siyo wajinga kama wewe.
Kama kweli Accacia walienda mahakama za kimataifa wakashinda kesi,nikipi kilichoifanya Accacia ikafutiliwa mbali?na kwanini hatunyolewa na vipande vya chupa kama Lissu alivyokuwa akituogepesha kuwa watatunyoa kwa vipande vya chupa pasipo maji?Yote kwa yote Magufuli anabaki kuwa mshindi kwa hii vita,hata alisubutu,ingawa alikuwa anapigana hii vita na wasaliti wa nchi...alieleza kwamba ripoti zilikuwa na walakini.
..pia alieleza kwamba tutashtakiwa, na hilo lilitokea baada ya acacia kutushtaki mahakama ya kimataifa.
..tulitakiwa tuandae ripoti ambazo tunaweza kuzitumia kuwashtaki acacia / barrick ndani ya Tz au nje na tukashinda.
Kitu muhimu sana ni Watanzania have the right to information the basis ya kumsamehe mwizi wetu!.
Kama deni hilo ni bonafide genuine, serikali inapoamua kusamehe, it got to give reasons. Na baada ya hapo TRA watoe taarifa kuwa wamelifuta deni hilo.
Haya mambo
Nina uelewa mkubwa sanaaaaaaa, tena wa kimataifa siyo wa hisia na chuki binafsi kama wako wa vyeti feki.Watanzania walio wengi ni wajinga na wewe ni mmoja wapo. Hili Jukwaa siyo kiwango chako, rudi Facebook au ukiwa huku nenda mahusiano na Jamii. wewe Blackcornshman ni kichwa cha panzi huwezi elewa vitu vya humu
Bei inakwendaje?je ukinunua kununua kuna tozoNauza t-shirt na tunatuma mikoa yoteView attachment 2365546
"rejecting constructively"Kimsingi kusimama nao mahakamani wangeishia kutushinda.
Katika kufanya Negotiation kuna kitu kinaitwa "rejecting constructively"! Hii ndio Magufuli alifanya, unawakataa kijanja lengo ni kuwarudisha mezani mkubaliane upya. Kwa hicho walichokuwa wamekubaliana ni aheri kuliko ujinga uliokuwa unafanyika mwanzoni.
Zao la mkoloni,kama nchi inavijana model hii tumepigwa na kitu kizito kichwaniYaani hata wewe Mayala, uliamini zile hadithi? Ungekuwa na uelewa japo kidogo sana wa biashara ya madini, ungeelewa tangu mwanzo, hata bila ya kuambiwa na mtu yeyote, kuwa zile hadithi za sijui trillion 360, mara Noah 1 kwa kila mtanzania, zilikuwa maalum for the fools.
Mwenye akili ukiambiwa kuna mtu kakamatwa na mahindi ya wizi tani 1,000 akiwa ameyabeba kwenye bajaji, utajua ni hadithi. Huwezi hata kupoteza muda wako kuulizia yaliwekwa kwenye magunia mangapi.
Wakati wa hadithi za makinikia ndiyo nilitambua kuwa kumbe nchi yetu ina idadi kubwa ya wajinga kuliko nilivyokuwa nikifikiria awali. Maana hata pale ilipohitajika basic reasoning, haikuwepo, bahati mbaya zaidi hata wale wenye degree nao hawakuwa tofauti na wasioenda shule hata darasa moja.
Mtu anajiita engineer, alithubutu kusema kuwa ndani ya container kulikuwa na makinikia ambayo yana dhahabu 90!! Very stupid. Hivi huyu ina maana hajui hata gravity ya dhahabu? 90% dhahabu, imejaa kwenye container, anaelewa litakuwa na uzito wa tani ngapi? Litabebwa na gari gani? Maana hilo moja, uzito wake utakuwa karibia sawa na containers 9 za mchanga. Hata ukifanikiwa tu kulinyanyua, litafumuka na kuchanika. Lakini wajinga waliamini.
Habari ya makinikia, nadhani marehemu alitaka kwa haraka kujua nchi ina kiwango gani cha ujinga.
Hoja ya vyeti feki ni dhaifu kwa kuwa Magufuli mwenyewe alikuwa na PhD fekiNina uelewa mkubwa sanaaaaaaa, tena wa kimataifa siyo wa hisia na chuki binafsi kama wako wa vyeti feki.
Bila kumtaja Mwamba hoja zako ni zero na chuki binafsi,una matatizo ya kisaikolojia,tafuta msaada haraka kabla ujapiga tukio la ajabu, watu washangae kwanini umebaka mtoto wa miaka miwili kumbe maskini mwenzetu mgonjwa wa akili.Hoja ya vyeti feki ni dhaifu kwa kuwa Magufuli mwenyewe alikuwa na PhD feki
Sasa si bora wamepewa hizo biloni 700 pamona na kuundwa kwa mkataba mpya?
Haya niambie sasa hizi takataka zako zitafanya chochote kwenye madini yetu kweli?
Au ndio zitaruhusu yawe yanaondoka tu?
PhD ya mchongo....Hoja ya vyeti feki ni dhaifu kwa kuwa Magufuli mwenyewe alikuwa na PhD feki
Aaah sikubali mimi nadai hela yangu nikanunuwe noah,au wewe wemzangu umesahau ahadi za noah?Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Mwigulu Nchemba ametoa ufafanuzi kuhusu wapi zipo shilingi trilioni 360 zilizopo kwenye mashauri ya madai 1,095.
Waziri Nchemba amesema, kuna jumla ya mashauri 400 katika mabaraza ya rufani za kodi (TRAT) yenye thamani ya shilingi trilioni 4.2 na dola za Marekani milioni 3.04 zinaendelea katika mabaraza hayo.
Hata hivyo Dkt. Nchemba amesema, serikali ilikubali kupokea shilingi bilioni 700 kutoka Barrick baada ya makubaliano baina ya timu ya serikali iliyoundwa na Rais wa serikali ya awamu ya tano Hayati Dkt. John Magufuli kufikia makubaliano ya pande zote na Barrick kuhusiana na madai ya shilingi trilioni 360.
Amesema baada ya makubaliano hayo ndipo ikaundwa kampuni ya Twiga ambayo inamiliki hisa asilimia 16 na Barrick inamiliki asilimia 84 ya kampuni hiyo.
Ufafanuzi huo wa waziri wa Fedha na Mipango unatokana na maswali ya Mbunge wa jimbo la Kisesa, Luhaga Mpina aliyetaka kufahamu kwa nini serikali imekubali kulipwa shilingi bilioni 700 kutoka kampuni ya Barrick badala ya shilingi trilioni 360 za awali.
View attachment 2365511
Kwa hiyo ndiyo tabia yako kubaka watoto? Binadamu huandika anachokipendeleaBila kumtaja Mwamba hoja zako ni zero na chuki binafsi,una matatizo ya kisaikolojia,tafuta msaada haraka kabla ujapiga tukio la ajabu, watu washangae kwanini umebaka mtoto wa miaka miwili kumbe maskini mwenzetu mgonjwa wa akili.
Mnamuonea tuWaziri wa fedha wa hovyo kuwai kutokea Tanzania.
Walianza kwa kutoa zaidi ya 100Bil Ikulu ya DsmBil.700 ililipwa kwa mikupua 3,tafuta habari zake zipo na walikuwa wanatangaza.
Yale madai hayakuwa sawa pamoja na Barrick hawakutana kupoteza zaidiHow come???!!! Yani trillion 360 ndo ifanye tupate hisa 16% tuu..??? Si uchoko huo
Kama bajeti tu ya nchi kwa mwaka haijawahi fika 25tr!!
Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app