Serikali yakiri kuachana na madai ya Tsh. Trilioni 360 za Makinikia

Namkumbuka Sana Prof Kighoma rip
Aisee, jamaa alikausha hazina hadi nchi 7 za wafadhili wakaiambia serikali ya mzee ruksa ikaombe msaada kwa waziri wetu wa fedha Kighoma Ally Malima.
Waafrika sijui akili zilienda wapi, unaibia hadi wananchi wako kweli?
 
Elimu ya darasani hii hii ya kukaririshana?

Anzeni kwanza kujenga walau makao makuu ndio mje tuongee
Makao makuu ndiyo huongoza Nchi ? Mbona nyinyi mliyonayo mumeshindwa?
 
Sawa,kwa hiyo mangufuli alitudanganya?
 
Aibu yetu aibu yao??

Eti mzungu akupe Trillion 360 yaani Dola Billion 154 - maweeeeee !! Yaani hata utaifishe mdodi wote uuze kila kitu hadi viti meza na wafanyakazi wote hupati hizo hela.

Unrealistic figure !!
 
Mwendazake alikua anapenda kusikia zaidi maneno yanayomfurahisha
 
Nadhan jomba wewe ndie mjinga kuleta maelezo yako ya kipumbavu unadhan watanzania woote ni wajinga..kama huna kazi nenda hata ukalime..au Basi utafute Bwana..hizi taarifa hatujawahi sikia viongozi wetu ambao walikuwa pamoja na JPM bega kwa bega wakituambia..wananchi tunachojua viongozi wetu wote walipiga kazi ya kufa mtu. Na Sasa wanaendelea no walewale uzuri..sijui unajaribu kutuambia utumbo gani..hutafanikiwa..kamwee..kwanza ungeanza kutuambia elimu yako uliishia darasa la ngapi. Kwa sabbu sidhani kama una elimu ya kufikia kumkosoa profesa au dokta
 
Do your homework...

Kuhusu Elimu yangu usiifutilie sana. Maana tayari ushajidhihirisha uzumbukuku wako.
Mtu wa darasa la Saba tena uliyefeli unakuja kujadili Mambo mazito humu huoni aibu..huoni Soni.. ur wasting our time
 
Jamaa yenu alikuwa na PHD feki full stop
Bila kumtaja Mwamba hoja zako ni zero na chuki binafsi,una matatizo ya kisaikolojia,tafuta msaada haraka kabla ujapiga tukio la ajabu, watu washangae kwanini umebaka mtoto wa miaka miwili kumbe maskini mwenzetu mgonjwa wa akili.
 
Nani aliekwambia ww nguchiro hizo rubbish zako????
Aisee, jamaa alikausha hazina hadi nchi 7 za wafadhili wakaiambia serikali ya mzee ruksa ikaombe msaada kwa waziri wetu wa fedha Kighoma Ally Malima.
Waafrika sijui akili zilienda wapi, unaibia hadi wananchi wako kweli?
 
 
Hakika ww ni nguchiro,na sasa nmeamin hata wapumbavu pia huzeeka
 
Bora darasa la 7 kuliko hawa wenye PHD zisizo na msaada wowote ktk maendeleo ya nchi
Mtu wa darasa la Saba tena uliyefeli unakuja kujadili Mambo mazito humu huoni aibu..huoni Soni.. ur wasting our time
 

Sjawwh ona viumbe waajab kama waafrika na sjui wanataka rais wa aina gan
 

Ahah umenena hakuna viumbe vya ovyo kama
Watu weusi
 

Mm nipate nafas ya kuondoka afrika
 
Mtu wa darasa la Saba tena uliyefeli unakuja kujadili Mambo mazito humu huoni aibu..huoni Soni.. ur wasting our time
Mtu wa darasa la saba na shoga mwenye digrii nani ana busara?

Potezea basi ukiona haikufai
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…