Kandambilimbili
R I P
- Nov 11, 2008
- 782
- 40
Watanzania tuache kulalama bila sababu za msingi.tunadai kuwa watumishi serikalini hawaendi vijijini kuhimiza maendeleo.tunataka viongozi waende vijijini kusimamia maendeleo sasa unataka waende kwa kutumia punda.haya magari munayoita ya gharama gari gani ambalo sio gharama siku hizi landrover seris three hazipo siku hizi mbona watu wanakuwa hawaelewi chochote na kujifanya kujua hebu nieleze gari lililorahisi ni lipi ukilinganisha na ukubwa wa nchi hii ubovu wa barabara za vujijini nk.
Watanzania tuache kulalama bila sababu za msingi.tunadai kuwa watumishi serikalini hawaendi vijijini kuhimiza maendeleo.tunataka viongozi waende vijijini kusimamia maendeleo sasa unataka waende kwa kutumia punda.haya magari munayoita ya gharama gari gani ambalo sio gharama siku hizi landrover seris three hazipo siku hizi mbona watu wanakuwa hawaelewi chochote na kujifanya kujua hebu nieleze gari lililorahisi ni lipi ukilinganisha na ukubwa wa nchi hii ubovu wa barabara za vujijini nk.
Lah, ndugu yangu nakushauri usipite tena huko kwenye mitaa ulikopita leo.
Hivi kweli umejiuliza kama kweli makatibu wakuu na wakurugenzi wa idara wanakwenda vijini kuhimiza maendeleo? na ni maendeleo gani hayo wanayohimiza? Na je umejiuliza ni kwa nini barabara za vijijini ni mbovu?
ina maana hayo mashangingi 700 ni ya makatibu wakuu na wakurungenzi TU? tena wa wizarani tu? HAkuna watendaji wengine?
Mimi ninavyojua Tanzania ni kichwa cha mwendawazimu katika michezo;kumbe huko afadhali.Wendawazimu upo kwenye utawala wa nchi zaidi kuliko michezo.Huweze ukatumia fedha kiasi hicho katika anasa hapa naona Utani unachukua nafasi zaidi kuliko ukweli wa mahitaji halisi ya hayo magari na thamani yake.
Unajua sioni ulazima wa kuagiza magari yote hayo kwa wakati mmoja,mbaya zaidi ya kifahari;yaani wewe maskini halafu unakimbilia ufahari,hapa deni la serikali(taifa) lazima liongezeke.
Tusiichukie Tanzania ila tuwachukie viongozi wake.
Naam na Wanyarwanda wanampenda kweli kweli maana wanaona mabadiliko makubwa ndani ya nchi yao. Siyo Mafisadi na waroho wa utajiri wa haraka haraka wanaofisadi Tanzania kila kukicha waliojaa ndani ya chama cha mafisadi na serikali.
Tatizo ni zile 10% za D.T Dobie na International Motors... wenyewe wanaziita "commision" kwa kuwaletea biashara. The higher the deal, the higher the commision.
- Mkuu wangu, juzi nilikuwa na hawa Warundi nikawauliza sana kuhusu Kagame, wakaniambia kwamba huyu ni mazishi sana, maana kwanza mshahara wake unazidi hata wa Bush, halafu mishahara ya wanaomzunguka haina mfano, halafu uzuri wa Rwanda kwa sasa uko Kigali tu, halafu wakulu wakawa very emotional,
- Kwamba amepiga marufuku wananchi wa vijijini kuingia mjini bila viatu, kwamba huko kwao kama una wanyama wa kufuga kama mbuzi na kuku, ni lazima wawe registered kwa serikali ukiamua kula kitoweo mmoja wapo ni lazima utoe taarifa kwa serikali na umlipie kodi, ole wako serikali igundue umekula mnyama wako bila kuiarifu, yaani nilitoka hapo kwa Warundi nimelewa bila kunywa mkuu!
- Huyu Kagame anatakiwa The Haque kujibu mashitaka ya kuua wananchi wengi sana, amehusika na kuua wananchi laki nane yaani wananchi 800,000 kwa kweli hata awe kiongozi safi lakini binafsi siwezi kumpa credit, mikono yake imejaa damu sana,
...hapana mkuu,hapo naona unachanganya mambo,hao laki nane waliokufa ilikuwa ni kazi ya interahamwe supported by France,Kagame is the one who stopped genocide baada ya kukamata Kigali na kuanza kuwakimbiza Interahamwe(hutu extremist) na for the records kagame hana mashtaka wala hatakiwi The Hague,na yule mama msaidizi wake kishaachiwa na sasa yuko Rwanda inaonekana France hawana kesi ni politics tuu!
wakisha uza alafu wawape wazee wa EAC nakuepuka laana alafu iweje...lol... watembelee magoti.. Radical thinking ridicules genuine concerns.. Hili ndio tatizo kubwa ya hizi forums.. A cyber mtikila of sorts..
Serikali iache tuu kununua magari yakifahari bila sababu yamsingi as a matter of policy at the highest levels, kama ni 10% I'm sure hakuna mtu ambae angekataa kati yenu simply because not taking it does not afford u anything in alternate... sana sana ukifa kama Omar Ali Juma watakucheka kwenu kuchafu thts all.. ndio watanzania tulivyo. Maamuzi yaukweli yafanyike at the highest level na yawe enforced tuu, wanunue magari 4wheel yanayoweza kufika sehemu nyingi zaidi tanzania na sio top of the range SUVs..
Kagame is by no means an exemplary leader..yani hii kweli ni forum.... in its truest etymological meaning.. Watu wanapayuka tuuu saa nyingine. Rather irritating for any1 with an actual brain.
Watanzania tuache kulalama bila sababu za msingi.tunadai kuwa watumishi serikalini hawaendi vijijini kuhimiza maendeleo.tunataka viongozi waende vijijini kusimamia maendeleo sasa unataka waende kwa kutumia punda.haya magari munayoita ya gharama gari gani ambalo sio gharama siku hizi landrover seris three hazipo siku hizi mbona watu wanakuwa hawaelewi chochote na kujifanya kujua hebu nieleze gari lililorahisi ni lipi ukilinganisha na ukubwa wa nchi hii ubovu wa barabara za vujijini nk.
Watanzania tuache kulalama bila sababu za msingi.tunadai kuwa watumishi serikalini hawaendi vijijini kuhimiza maendeleo.tunataka viongozi waende vijijini kusimamia maendeleo sasa unataka waende kwa kutumia punda.haya magari munayoita ya gharama gari gani ambalo sio gharama siku hizi landrover seris three hazipo siku hizi mbona watu wanakuwa hawaelewi chochote na kujifanya kujua hebu nieleze gari lililorahisi ni lipi ukilinganisha na ukubwa wa nchi hii ubovu wa barabara za vujijini nk.