Kwa masikitiko makubwa sana ndugu zangu ninaleta malalamiko yangu kwa serikali yangu Pendwa, Hivi mnatutaka nini wafanya Biashara? Hizi restriction Mlizoweka kila mahali kuwa na uhitaji wa Kitmbulisho cha taifa, yani huwezi fanya kitu, halafu kitambulisho mnatoa nyie, huu ni mwaka sasa HAKUNA kitambulisho, maana yake ni nini Jamani?
Nikaambiwa niende brela pale basi kuna namna naweza kipata, nimetoka mkoani mpaka dar, nimekaa week 1 nimetumia zaidi ya laki 5, na sijakipata, sasa mimi nina swali, nina uhakika kuna watu kama mimi kwa mamilioni ambao hata mngesema kitambulisho ni laki 3 ningelipa, maana nishapoteza laki 5 tayari, na sijakipata!
SWALI KWA SERIKALI YANGU PENDWA, MBONA KAMA MNAKOMOA SASA?
Nikaambiwa niende brela pale basi kuna namna naweza kipata, nimetoka mkoani mpaka dar, nimekaa week 1 nimetumia zaidi ya laki 5, na sijakipata, sasa mimi nina swali, nina uhakika kuna watu kama mimi kwa mamilioni ambao hata mngesema kitambulisho ni laki 3 ningelipa, maana nishapoteza laki 5 tayari, na sijakipata!
SWALI KWA SERIKALI YANGU PENDWA, MBONA KAMA MNAKOMOA SASA?