Mpita Njia
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 6,997
- 1,172
- Thread starter
- #21
Na nini kimetokea ghafla hadi kugeuza sababu hizo na kuifanya serikali kubatilisha uamuzi wake?Unajua kinachogomba hapa ni sababu ya kufuta hiyo misamaha...
Pinda anasema alikutana na viongozi wa dini (jana) na kisha akaenda kuonana na muungwana (leo) na kukubaliana kuwa uamuzi huo ubatilishwe.