Pre GE2025 Serikali yapendekeza trilioni 57.04 kutumika mwaka 2025/26

Pre GE2025 Serikali yapendekeza trilioni 57.04 kutumika mwaka 2025/26

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Pesa imewahi kutosha? Makusanyo yaliyowekwa kwenye Bajeti ndio hayo ya 57Trilioni.
17 tril ni za kukopa au wahisani. Maana makusanyo ni 40Tril

Ila tukiacha siasa za kuendekeza wapiga kura walipa kodi watakuwa wengi.
Ni swala la TRA kuongea na NIDA, kila mwenye NIDA atumiwe taarifa kuwa amesajiliwa kama mlipa kodi kwa NilIDA yake
 
Bajeti inayosha imetekelezeka kwa asilimia ngapi? Ruksa kupika data.
Achaga kuwa mjinga,haihitaji kupika data,angalia matokeo ya kilichopangwa kama kimetekelezwa au hapana.

Mwisho Subiria taarifa Bunge la Bajeti likianza mwezi wa 4
 
17 tril ni za kukopa au wahisani. Maana makusanyo ni 40Tril

Ila tukiacha siasa za kuendekeza wapiga kura walipa kodi watakuwa wengi.
Ni swala la TRA kuongea na NIDA, kila mwenye NIDA atumiwe taarifa kuwa amesajiliwa kama mlipa kodi kwa NilIDA yake
Wahisani ndio kina nani? Serikali itakopa hiyo hela nyingine ndani na Nje,mikopo ya biashara na riba nafuu.

Ukitegemea wanaoitwa wahisani ndio kama hao sasa kina Trump.

Nakubalina na wewe kwamba walipakodo wako wengi na hawajafikiwa hasa kwenye sekta za Kilimo,mifugo,Uvuvi na Biashara hizi za vyakula vyakula.

Pia uvujaji wa Mapato ni mkubwa watu hawatoi risiti.

Kwa uchumi wa 🇹🇿 tunatakiwa tuwe tunakusanya over 50T maana tuko nyuma ya Nchi zote za EAC ukilinganisha uwiano wa Mapato vs GDP.

Mwisho hata Mimi siko tayari kulipa Kodi ikiwa Wanasiasa wao wanakwepa, Serikali haijali jasho la watu Wala hawajali kwenye expenditures zao.
 
Harafu nyie mods ni vilaza kabisa,hiyo heading ya kihuni sikuandika Mimi.

Bila neno Bajeti Haina maana mlichofanya.
 
Achaga kuwa mjinga,haihitaji kupika data,angalia matokeo ya kilichopangwa kama kimetekelezwa au hapana.

Mwisho Subiria taarifa Bunge la Bajeti likianza mwezi wa 4
Nasema hivi, kupika data ruksa.
 
Je makusanyo yatatosha?
Na hilo ndio swali gumu.
Wanakusanya kwa mwezi wastani wa sh trillioni 2.
Kwa mwaka ni trillioni 24.
57 -24=33 Trillioni watazipata wapi?
Hata kama wangepata akili ya Deep Seek AI wakusanye trillioni mbili na nusu kwa mwezi,makusanyo kwa mwaka ni sh Trillioni 30 tu.
30/57×100%=52.63% ya bajeti
Trillioni 27 watazipata wapi?Kama ni kupitia mikopo kwanini tusiende na falsafa ya Kafulila PPP?
Na kama haiwezekani bajeti iwe trillioni 30 tu badala ya trillioni 57
 
Na hilo ndio swali gumu.
Wanakusanya kwa mwezi wastani wa sh trillioni 2.
Kwa mwaka ni trillioni 24.
57 -24=33 Trillioni watazipata wapi?
Hata kama wangepata akili ya Deep Seek AI wakusanye trillioni mbili na nusu kwa mwezi,makusanyo kwa mwaka ni sh Trillioni 30 tu.
30/57×100%=52.63% ya bajeti
Trillioni 27 watazipata wapi?Kama ni kupitia mikopo kwanini tusiende na falsafa ya Kafulila PPP?
Na kama haiwezekani bajeti iwe trillioni 30 tu badala ya trillioni 57
Wewe unaota aisee.Hujui kusoma au? TRA inakusanya 2.7T/M Kwa Bajeti hii ya 2024/2025 na Bajeti ijayo itakuwa 3T/M .

Sasa hayo maelezo Yako umeyatoa wapi?

View: https://www.instagram.com/p/DHGAYSLKtvU/?igsh=YmMxZTFpYzRlbGNh
 
Wewe unaota aisee.Hujui kusoma au? TRA inakusanya 2.7T/M Kwa Bajeti hii ya 2024/2025 na Bajeti ijayo itakuwa 3T/M .

Sasa hayo maelezo Yako umeyatoa wapi?
Mkuu kama ni kweli mbona mara nyingi miradi haitekelezwi kwa sababu ya kukosa pesa?
Au makusanyo na matumizi ni vitu viwili tofauti?
Bado kuna kulipa madeni,
 
Mkuu kama ni kweli mbona mara nyingi miradi haitekelezwi kwa sababu ya kukosa pesa?
Au makusanyo na matumizi ni vitu viwili tofauti?
Bado kuna kulipa madeni,
Miradi gani haitekelezwi?

Pili Kuna tofauti kati ya estimates na actual collected funds.Makusanyo a Serikali hayajawahi fikia 💯 % Huwa yanakuwa kati ya 94-97% ambazo zinatosha sana kutekeleza miradi.
 
Back
Top Bottom