Serikali yapiga marufuku mazao ya uhandisijeni(GMOs) nchini

Huyu jamaa wa Mikocheni ni nani? Ni yule Duguru? Huyu mi namuona kama bonge la fala! Ni mtu anayejipendekeza sana! Na watu wa aina hii ni hatari kununuliwa na kuanza kushabikia upuuzi wa akina Bill Gates wanaozungumzia kupunguza idadi ya waafrica na siku hizi anazungumza utadhani naye mtaalamu wa afya. Akileta ufadhiri hapa, wanaofadhiriwa wanadhani kwamba nao ni mashuhuri. GMO, biotech rubbish.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…