Serikali yapoteza State attorneys kila mwaka

Serikali yapoteza State attorneys kila mwaka

Visingizio tu kila siku, nani alikwambia mishahara mizuri inazuia rushwa, hizo rushwa za TRA na Bandari huzisikii nini ilihali wana mishahara ya maana


Wanachotafuta ni maisha descent na siyo ndoto za kumiliki utajiri mkubwa kama wafanyakazi hao wa TRA na Bandarini
 
Mtoa mada hajui anachokiongea binafsi hakuna kada ambayo ni zaidi ya nyingine pili Ofisi ya mwanasheria mkuu wa serikali haitoi ushauri bure kwa wananchi ambao ndio wanafanya wanalipwa mshahara ofisi hii imejaa rushwa ndio maana serikali haishindi kesi ata mtu akija kucertify vyeti lazima atoe pesa kiufupi hakuna kitu cha bure ndani ya ofisi hii ambayo wananchi wana amini hii ndio sehemu ambayo wangeweza kupata huduma ya kisheria bure mimi nadhani ili ni jipu linalo subiri kutumbuliwa baada ya pccb so mtoa mada anajaribu kuvutia upande wake lkn hajui kuwa ofisi hii imeoza kabisa wanakaa pamoja na mawakili wa kujitegemea na mahakimu wanamaliza kesi juu kwa juu na kuiingizia serikali hasara kubwa mno alafu hawa wala rushwa ndo waongezewe mishahara sidhani kama tuna serikali ya kipuuzi kiasi hicho ndo maana serikali inapokuwa na kesi za maana inawaalika mawakili toka nje ya nchi inajua kinacho endelea ndani ya ofisi hii.


Ingekuwa umenikuta ofisini ningekuchaji pesa ila hapa ngoja nifanye pro bono. Zile kazi zinazofanywa na mawakili walioajiriwa na serikali zinatozwa kama kawaida ila malipo yake yanapaswa yaende serikalini. Refer Notary Public and commissioner for Act.
 
Visingizio tu kila siku, nani alikwambia mishahara mizuri inazuia rushwa, hizo rushwa za TRA na Bandari huzisikii nini ilihali wana mishahara ya maana
Hoja kuu hapa ni ku retain wafanyakazi waliobobea kitaaluma wasikimbie ofisi sababu ya njaa. Je unaweza kuniambia TRA wafanyakazi wanaacha kazi hovyo hovyo kama taasisi tunayoijadili hapa? Au ni mahali ambapo watu wanapambana wasitoke!?
 
Hoja kuu hapa ni ku retain wafanyakazi waliobobea kitaaluma wasikimbie ofisi sababu ya njaa. Je unaweza kuniambia TRA wafanyakazi wanaacha kazi hovyo hovyo kama taasisi tunayoijadili hapa? Au ni mahali ambapo watu wanapambana wasitoke!?


Yaani hii ofisi ikikaa vibaya itakuwa ni training ground , mishahara ni midogo, vitendea kazi hakuna, ubabe, ukanda kwa mantiki ya kubebena, stahiki za wafanyakazi haziji kwa wakati, programs za kuendeleza wafanyakazi ni mbovu, hawana ofisi , hawaruhusiwi kukutana kwa mfano kuwa na annual meeting etc. Haya wamekuwa yakiwafanya state attorneys kuacha au kuhama kazi kila siku. Kuwazuia kuhama siyo ufumbuzi ila ofisi ijielekeze katika kile kinachowafanya waache kazi.
 
Ingekuwa umenikuta ofisini ningekuchaji pesa ila hapa ngoja nifanye pro bono. Zile kazi zinazofanywa na mawakili walioajiriwa na serikali zinatozwa kama kawaida ila malipo yake yanapaswa yaende serikalini. Refer Notary Public and commissioner for Act.
hapo kwenye red mkuu. wewe ni mwanasheria?hahahaha. pili, ni kweli, huwa wanagonga mihuri, lakini ukigongewa mhuri wa laki moja au laki mbili kwa wakili wa kujitegemea, kwa wakili wa serikali utagongewa kwa alfu 20.

pili, watu wakija kwako kama commissioner for oath ukawashuhudia kitu, maana yake ni kwamba siku likitokea tatizo utatakiwa kusafiri hata kama kutoka dsm hadi mtwara ukatoe ushahidi kutokana na hicho ulichoshuhudia. wao wamezuiliwa wasipokee wateja kuwawakilisha mahakamani kwasababu italeta mgongano wa kimaslahi na serikali, lakini bado wana vyeti vya uwakili toka kwa chief justice/jaji mkuu, hivyo utakapojadili hicho kitu ujue kugonga mihuri huko mara nyingi ni liability tu, wala haina maslahi sana.
 
Yaani hii ofisi ikikaa vibaya itakuwa ni training ground , mishahara ni midogo, vitendea kazi hakuna, ubabe, ukanda kwa mantiki ya kubebena, stahiki za wafanyakazi haziji kwa wakati, programs za kuendeleza wafanyakazi ni mbovu, hawana ofisi , hawaruhusiwi kukutana kwa mfano kuwa na annual meeting etc. Haya wamekuwa yakiwafanya state attorneys kuacha au kuhama kazi kila siku. Kuwazuia kuhama siyo ufumbuzi ila ofisi ijielekeze katika kile kinachowafanya waache kazi.
kuwakomoa mawakili wa serikali, ni kuwakomoa raia, watakaoumia ni raia. ni sawa na hakimu mahakamani anaondoa shauri kwa 225 wakati wakili ameandaa polisi mlangoni anakamata tena na shauri linaanza upya anayeumia ni raia. hata hapa, kama serikali haiwajali hawa jamaa, kitakachofanyika watakuwa shaba la bibi, wataamua kuungana na wahalifu hivyo kila kesi inayokuja kwao ataanza kuangalia milango ya kupiga dili tu badala ya kuhakikisha waathirika wanapata haki kisheria. hakuna mtu anayeweza kuhatarisha maisha yake pasipo maslahi, ndio maana utakuta hata polisi ana network ya majambazi anashirikiana nao kwasababu serikali haimjali. kama mkiwareject hawa jamaa, basi mkipata tatizo msikimbilie polisi kwasababu hata mkikimbilia polisi kesi hiyo itaendeshwa na hawa mawakili wa serikali na matokeo yake unayajua. wakili wa serikali ana njaa halafu unapeleka kesi ya mtu mwenye hela kwake..
 
K
hapo kwenye red mkuu. wewe ni mwanasheria?hahahaha. pili, ni kweli, huwa wanagonga mihuri, lakini ukigongewa mhuri wa laki moja au laki mbili kwa wakili wa kujitegemea, kwa wakili wa serikali utagongewa kwa alfu 20.

pili, watu wakija kwako kama commissioner for oath ukawashuhudia kitu, maana yake ni kwamba siku likitokea tatizo utatakiwa kusafiri hata kama kutoka dsm hadi mtwara ukatoe ushahidi kutokana na hicho ulichoshuhudia. wao wamezuiliwa wasipokee wateja kuwawakilisha mahakamani kwasababu italeta mgongano wa kimaslahi na serikali, lakini bado wana vyeti vya uwakili toka kwa chief justice/jaji mkuu, hivyo utakapojadili hicho kitu ujue kugonga mihuri huko mara nyingi ni liability tu, wala haina maslahi sana.

Ni wakili tena anayeshinda kesi nyingi tu, hiyo iliandikwa in hurry "The Notaries Public and Commissioner for Oaths Act, cap 12 R.E , umeangalia hiyo hali with a negative eye, pia hayo yanaweza yasitokee. Kuhusu bei hiyo siyo kanuni inategemea na bargain, kwa wakili wa kujitemea lazima iwe relatively higher kwa sababu ya charges wakili anapaswa kulipia ofisi na mambo mengine. Wakili wa serikali halipii chochote kwani hata mhuri wenyewe ni wa serikali.
 
Shetani atawalipa kwa kutetea maovu!

Mpaka kufikia kuhitimisha kusema mtu flan ni mwovu ni mchakato mrefu wa kisheria. Kumbuka Katiba yetu ina dhana kuwa mtu hana hatia mpaka ithibitishwe kuwa kweli katenda kosa.
 
Ok, nina swali dogo, "hawa wadogo zako mawakili na walimu au madaktari, ni wepi wanastahili kuboreshewa maslahi?" Unapotanguliza maslahi mbele hata ulipwe budget nzima ya nchi peke yako, utakula tu rushwa! Weka uzalendo mbele, achana na maslahi! Pia swala la kulinganisha mawakili wa nje na wabongo, unakosea kidogo Mh, maana level ya uchumi ni tofauti Mh!

Waambie wadogo zako wajitahidi inapokuja mikataba yenye maslahi kwa nchi, wawe wazalendo ili tunufaike nayo! Wasijitazame wao tu na 10%, wajione kuwa kuna maisha baada ya kula rushwa!! Pia wafuate sheria na taratibu za kiutendaji! Maadili yawe dira yao. Wewe ni wakili ila unaonekana huna maadili, unawafundisha wadogo zako wawe wezi na wafanye kazi kimaslahi badala ya weledi!

Ahsante Mh...!

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums

Kaka nawe umepotoka!
I
Kuendesha kesi ya pesa nyingi huku unaishi uswahilini, kufa nje nje.

Sikulaumu sana Maana waweza kuwa hujawahi kusikia mtu kuwekewa achague Pesa (rushwa) au bunduki. Uchague Kifo au Rushwa.
 
K

Ni wakili tena anayeshinda kesi nyingi tu, hiyo iliandikwa in hurry "The Notaries Public and Commissioner for Oaths Act, cap 12 R.E , umeangalia hiyo hali with a negative eye, pia hayo yanaweza yasitokee. Kuhusu bei hiyo siyo kanuni inategemea na bargain, kwa wakili wa kujitemea lazima iwe relatively higher kwa sababu ya charges wakili anapaswa kulipia ofisi na mambo mengine. Wakili wa serikali halipii chochote kwani hata mhuri wenyewe ni wa serikali.
na imagine umesubmit namna hiyo kwa mh. jaji....jinsi atakavyokuwa disappointed kuona wakili aliyeko mbele yake anaongea kwa kukurupuka namna hiyo. sheria ni profession inayohitaji umakini sana, mtu asiye makini si mwanasheria. hata hivyo, jamaa asikuzingue sana, makosa ya grama ni kitu cha kawaida.
 
Kaka nawe umepotoka!
I
Kuendesha kesi ya pesa nyingi huku unaishi uswahilini, kufa nje nje.

Sikulaumu sana Maana waweza kuwa hujawahi kusikia mtu kuwekewa achague Pesa (rushwa) au bunduki. Uchague Kifo au Rushwa.
kama ningekuwa mimi, naishi uswahilini, jamaa anakuja anaweka mezani bunduki hapo na pesa hapo halafu anasema chagua....hahahaha. nafikiri jibu umelipata. nilishawahi kufanya kazi kama wakili wa serikali, na nilikimbia mambo kama hayahaya. kwa kawaida, wakili wa serikali anayefanya kazi zaidi ya miaka 5 ni yule mwenye roho ngumu sana na ni wale wanaosubiri kuwa wanasiasa tu, ila wengi wetu ambao tulisoma kwaajili ya kupata hela za haraka, hapo sio mahali pake. ofisi hiyo ni ofisi ambayo mtu anweza kuendesha kesi ya hela nyingi lakini anaishi uswahilini kwasababu analipwa kidogo sana, ndio maana wengine wanakimbia au kula rushwa tu.hakuna haki itapatikana kwa naman hii.
 
na imagine umesubmit namna hiyo kwa mh. jaji....jinsi atakavyokuwa disappointed kuona wakili aliyeko mbele yake anaongea kwa kukurupuka namna hiyo. sheria ni profession inayohitaji umakini sana, mtu asiye makini si mwanasheria. hata hivyo, jamaa asikuzingue sana, makosa ya grama ni kitu cha kawaida.


Siyo kukurupuka ila katika maeneo yasiyo very formal kuna baadhi ya mambo ambayo si ya kutilia mkazo , naona baada ya kunikimbia kwenye ile thread ya kutoa maelezo polisi Leo umeibukia hapa. Feel at home as by no means I expect to put you in loggerhead again.
 
Siyo kukurupuka ila katika maeneo yasiyo very formal kuna baadhi ya mambo ambayo si ya kutilia mkazo , naona baada ya kunikimbia kwenye ile thread ya kutoa maelezo polisi Leo umeibukia hapa. Feel at home as by no means I expect to put you in loggerhead again.
hadi nimesahau kuwa tulishawahi kubishana, hahaha, watu kama wewe mimi huwa siwaweki kichwani kabisa. ok, hivyo msimamo wako bado uleule kuhusu kutoa maelezo polisi? bado hauamini kama ni haki ya suspect kukataa kutotoa maelezo na akamwambia askari anayechukua cautioned statement kuwa yeye hatoi maelezo, maelezo atayatoa anapojieleza katika defence yake mahakamani? still upo na msimamo uleule au shule yangu ilikuingia?
 
Nimelazimika kuandika suala hili, naweza kusema mimi mdau wa tasnia ya sheria, mwenyezi Mungu amenisaidia nimezunguka maeneo mengi duniani kikazi nikilitumikia taifa, na nimewiwa kutoa maoni yafuatayo kwa serikali iyaangalie kwa makini.

Suala lenyewe linahusu watu wanaoitwa STATE ATTORNEYS au kwa kiswahili, MAWAKILI WA SERIKALI. hawa ni watu walioko chini ya mwanasheria mkuu wa serikali pamoja na mkurugenzi wa mashitaka, ni wadogo zangu, wengine wake zetu. actually kwenye familia yetu tunao wawili. lakini maisha yao hayabadiliki, ni magumu kusema kweli. hivi serikali yao huwa haiwaangalii hawa watu, nimetembea nchi nyingi, kada hii haifanani kabisa na kada zilizoko nchi za wenzetu ambazo ziko kama wao.

1. WAKILI wa serikali ni mtu ambaye ana risky nyingi sana, ni prosecutor wa kesi kubwa za ajabu, lakini analipwa hela kidogo sana.

2. Inakuwaje wakili anayelipwa hela kidogo sana, ukampa aendeshe kesi ya bilioni moja, mbili au hata milioni mia. hawezi kuwa compromised kweli? wakili analipwa hela kidogo, mshitakiwa anaweza kumpa hela inayotosha mafao yake akistaafu, kwanini asile rushwa?

3. Wakili anaishi nyumba mbovu, amezungukwa na washitakiwa, washitakiwa ndio majirani zake, kwanini asishirikiane nao, no wonder anaweza hata kuamua kuwa rafiki wa watenda makosa na kutengeneza network kwasababu analipwa kidogo, anaishi maisha risky mtaa wa wahalifu kwasababu huko ndiko ana afford kulipa kodi na halipwi risky allowances.

4. Wakili hana usafiri, anapewa lift na washitakiwa.

HII NI OFISI PEKEE AMBAYO HAINA MAJENGO YAKE BINAFSI ZAIDI YA JENGO MOJA TU la makao makuu. hivi viongozi haina?

5. Wakili hana hela kuendesha familia, lakini amezungukwa na washitakiwa wanaoweza kumlipia ada ya watoto wake hadi wanamaliza, atashindwaje kuharibu kesi?

6. Ofisi ya mwanasheria mkuu wa serikali ni ngumu kufanya kazi na haina msemaji. ni ofisi ya aibu sana kwasababu majengo karibia yote nchini wamepanga, wakati PCCB wamejenga majengo yao karibia kila mkoa. wakati huohuo upo ushahidi kuonyesha kwamba kila mkoa kuna kiwanja ambacho ofisi hii imepewa ili kujenga jengo, sasa angalia hiyo kodi wanayolipa kwa mwezi ni shilingi ngapi ambayo ingewashinda kujenga majengo yao, na ni kwanini wanapenda kupanga tu, huko kupanga kunamfaidisha nani na kunamwathiri nani? je kunamwathiri mtu binafsi au wafanyakazi? ofisi haina marupurupi hivi mnafikiri watu wataendelea kufanya kazi ofisini kwenu kweli, hivi kuna mtu anasoma ili ateseke?

7. Hii ni ofisi ambayo imeshikilia mambo mazito sana yanayoisaidia serikali lakini serikali haiijali hii ofisi. hii ni ofisi inayoishauri serikali mambo ya msingi, hii ndio ofisi inayoshitaki wauaji, majambazi, na wahalifu wote ili raia mkae kwa amani. hii ni ofisi ambayo inatoa ushauri na kusaidia wananchi bure, ni ofisi ya wananchi, lakini serikali haiwathamini kabisa. hivi ni kwanini?

Matokeo yake, kinachoendelea kwa mawakili wa serikali ni kwamba, watu wanakimbia kada. anakaa kidogo akishaona hapafai, anapiga hela za rushwa, halafu ana lala mbele anaenda kuwa mwanasheria wa kujitegemea. mtu kama huyo serikali inakuwa imeshampatia mafunzo mengi/training nyingi sana kwa garama ya serikali, lakini hata kabla hajainufaisha serikali kwa kile alichokisomea, ameona hakuna faida kuwa wakili wa serikali na anaondoka kwenda kuwa mtetezi wa washitakiwa wanaoshitakiwa na serikali. na zaidi ya wengi wanaoondoka, ni wale ambao wamefikia level ya senior, kwa hiyo waliobaki ni wale ambao ni junior tu ambao hawana uwezo mzuri kuendesha kesi na kutetea serikali, matokeo yake serikali inazidi kushindwa kesi kwasababu waliopo ni majunior tu hawana experience, wenye experience wameondoka kukimbia ofisi...na hao majunior wakipata experience na kuwa seniors basi wanaondoka kukimbia kada. hivyo tusishangae kwanini serikali inashindwa kesi kila siku, ni kwasababu waendesha mashitaka waliopo ni juniors , seniors wameondoka wamekimbia ofisi.

Binafsi nawaonea huruma hawa wadogo zangu, wanafanya kazi katika mazingira magumu sana. ninakuomba MAGUFULI, angalia kwa jicho la huruma kwa hii ofisi, kwasababu hawa wakiamua kuharibu kesi serikali isishinde, majambazi wote wataachiwa huru bila kufungwa, hao unaowakamata wala rushwa wataachiwa bila kufungwa, watarudi kwa wananchi na wananchi wataishi bila amani kabisa. hao vibaka watarudi mtaani, hao wabakaji watarudi mtaani, hapo ndipo mtaona ni ya muhimu. angalia mshahara wao, angalia kama kuna allowance zozote, angalia wanakoishi, angalia risky allowance zile unazowapa polisi kwanini hawa hauwapatii wakati nao wako kwenye risky sana? au unataka waharibu kesi ili usipate sifa? na mwanasheria mkuu wa serikali huwa hawaongelei kabisa kuwatetea hawa watu, wakati jaji mkuu anawatetea sana mahakama na mahakama maisha yao yamerahisishwa sana, kwanini mwanasheria mkuu wa serikali hapiganii maslahi ya watu wake? ni kwanini? basi wataondoka wote ili muendelee kuwa na wafanyakazi wasio na uzoefu, nao wakipata uzoefu wakimbie muendelee kupata kazi ya kuwatrain wapya ili nao waje kukimbia badae. kwaheri, hayo ni yangu ya moyoni.
Washauri hao ndugu zako waache kazi fasta wakapate hiyo mihela mitaani!
 
Nimelazimika kuandika suala hili, naweza kusema mimi mdau wa tasnia ya sheria, mwenyezi Mungu amenisaidia nimezunguka maeneo mengi duniani kikazi nikilitumikia taifa, na nimewiwa kutoa maoni yafuatayo kwa serikali iyaangalie kwa makini.

Suala lenyewe linahusu watu wanaoitwa STATE ATTORNEYS au kwa kiswahili, MAWAKILI WA SERIKALI. hawa ni watu walioko chini ya mwanasheria mkuu wa serikali pamoja na mkurugenzi wa mashitaka, ni wadogo zangu, wengine wake zetu. actually kwenye familia yetu tunao wawili. lakini maisha yao hayabadiliki, ni magumu kusema kweli. hivi serikali yao huwa haiwaangalii hawa watu, nimetembea nchi nyingi, kada hii haifanani kabisa na kada zilizoko nchi za wenzetu ambazo ziko kama wao.

1. WAKILI wa serikali ni mtu ambaye ana risky nyingi sana, ni prosecutor wa kesi kubwa za ajabu, lakini analipwa hela kidogo sana.

2. Inakuwaje wakili anayelipwa hela kidogo sana, ukampa aendeshe kesi ya bilioni moja, mbili au hata milioni mia. hawezi kuwa compromised kweli? wakili analipwa hela kidogo, mshitakiwa anaweza kumpa hela inayotosha mafao yake akistaafu, kwanini asile rushwa?

3. Wakili anaishi nyumba mbovu, amezungukwa na washitakiwa, washitakiwa ndio majirani zake, kwanini asishirikiane nao, no wonder anaweza hata kuamua kuwa rafiki wa watenda makosa na kutengeneza network kwasababu analipwa kidogo, anaishi maisha risky mtaa wa wahalifu kwasababu huko ndiko ana afford kulipa kodi na halipwi risky allowances.

4. Wakili hana usafiri, anapewa lift na washitakiwa.

HII NI OFISI PEKEE AMBAYO HAINA MAJENGO YAKE BINAFSI ZAIDI YA JENGO MOJA TU la makao makuu. hivi viongozi haina?

5. Wakili hana hela kuendesha familia, lakini amezungukwa na washitakiwa wanaoweza kumlipia ada ya watoto wake hadi wanamaliza, atashindwaje kuharibu kesi?

6. Ofisi ya mwanasheria mkuu wa serikali ni ngumu kufanya kazi na haina msemaji. ni ofisi ya aibu sana kwasababu majengo karibia yote nchini wamepanga, wakati PCCB wamejenga majengo yao karibia kila mkoa. wakati huohuo upo ushahidi kuonyesha kwamba kila mkoa kuna kiwanja ambacho ofisi hii imepewa ili kujenga jengo, sasa angalia hiyo kodi wanayolipa kwa mwezi ni shilingi ngapi ambayo ingewashinda kujenga majengo yao, na ni kwanini wanapenda kupanga tu, huko kupanga kunamfaidisha nani na kunamwathiri nani? je kunamwathiri mtu binafsi au wafanyakazi? ofisi haina marupurupi hivi mnafikiri watu wataendelea kufanya kazi ofisini kwenu kweli, hivi kuna mtu anasoma ili ateseke?

7. Hii ni ofisi ambayo imeshikilia mambo mazito sana yanayoisaidia serikali lakini serikali haiijali hii ofisi. hii ni ofisi inayoishauri serikali mambo ya msingi, hii ndio ofisi inayoshitaki wauaji, majambazi, na wahalifu wote ili raia mkae kwa amani. hii ni ofisi ambayo inatoa ushauri na kusaidia wananchi bure, ni ofisi ya wananchi, lakini serikali haiwathamini kabisa. hivi ni kwanini?

Matokeo yake, kinachoendelea kwa mawakili wa serikali ni kwamba, watu wanakimbia kada. anakaa kidogo akishaona hapafai, anapiga hela za rushwa, halafu ana lala mbele anaenda kuwa mwanasheria wa kujitegemea. mtu kama huyo serikali inakuwa imeshampatia mafunzo mengi/training nyingi sana kwa garama ya serikali, lakini hata kabla hajainufaisha serikali kwa kile alichokisomea, ameona hakuna faida kuwa wakili wa serikali na anaondoka kwenda kuwa mtetezi wa washitakiwa wanaoshitakiwa na serikali. na zaidi ya wengi wanaoondoka, ni wale ambao wamefikia level ya senior, kwa hiyo waliobaki ni wale ambao ni junior tu ambao hawana uwezo mzuri kuendesha kesi na kutetea serikali, matokeo yake serikali inazidi kushindwa kesi kwasababu waliopo ni majunior tu hawana experience, wenye experience wameondoka kukimbia ofisi...na hao majunior wakipata experience na kuwa seniors basi wanaondoka kukimbia kada. hivyo tusishangae kwanini serikali inashindwa kesi kila siku, ni kwasababu waendesha mashitaka waliopo ni juniors , seniors wameondoka wamekimbia ofisi.

Binafsi nawaonea huruma hawa wadogo zangu, wanafanya kazi katika mazingira magumu sana. ninakuomba MAGUFULI, angalia kwa jicho la huruma kwa hii ofisi, kwasababu hawa wakiamua kuharibu kesi serikali isishinde, majambazi wote wataachiwa huru bila kufungwa, hao unaowakamata wala rushwa wataachiwa bila kufungwa, watarudi kwa wananchi na wananchi wataishi bila amani kabisa. hao vibaka watarudi mtaani, hao wabakaji watarudi mtaani, hapo ndipo mtaona ni ya muhimu. angalia mshahara wao, angalia kama kuna allowance zozote, angalia wanakoishi, angalia risky allowance zile unazowapa polisi kwanini hawa hauwapatii wakati nao wako kwenye risky sana? au unataka waharibu kesi ili usipate sifa? na mwanasheria mkuu wa serikali huwa hawaongelei kabisa kuwatetea hawa watu, wakati jaji mkuu anawatetea sana mahakama na mahakama maisha yao yamerahisishwa sana, kwanini mwanasheria mkuu wa serikali hapiganii maslahi ya watu wake? ni kwanini? basi wataondoka wote ili muendelee kuwa na wafanyakazi wasio na uzoefu, nao wakipata uzoefu wakimbie muendelee kupata kazi ya kuwatrain wapya ili nao waje kukimbia badae. kwaheri, hayo ni yangu ya moyoni.
 
kama ningekuwa mimi, naishi uswahilini, jamaa anakuja anaweka mezani bunduki hapo na pesa hapo halafu anasema chagua....hahahaha. nafikiri jibu umelipata. nilishawahi kufanya kazi kama wakili wa serikali, na nilikimbia mambo kama hayahaya. kwa kawaida, wakili wa serikali anayefanya kazi zaidi ya miaka 5 ni yule mwenye roho ngumu sana na ni wale wanaosubiri kuwa wanasiasa tu, ila wengi wetu ambao tulisoma kwaajili ya kupata hela za haraka, hapo sio mahali pake. ofisi hiyo ni ofisi ambayo mtu anweza kuendesha kesi ya hela nyingi lakini anaishi uswahilini kwasababu analipwa kidogo sana, ndio maana wengine wanakimbia au kula rushwa tu.hakuna haki itapatikana kwa naman hii.[/QUOTE

Mkuu inasemekana pia ulipoteza kesi nyingi, ulizoshinda ni zile ulizokuwa karibu na marehemu Bonifas , pia unaonekana wewe ni kichwa cha panzi,hiyo topic ilishafungwa kwa marejeo itafute ujue kile nilichokisema!How can I learn from failures!
 
hahaha, worse enough, wakati mimi bado wakili serikali dsm, boniface alikuwa bado yupo mbeya hata hajaja dsm, alipokuja dar nilishaondoka hiyo ofisi ya kimasikini. sasa sijui ni kesi zipi niliendesha na boni.
 
hadi nimesahau kuwa tulishawahi kubishana, hahaha, watu kama wewe mimi huwa siwaweki kichwani kabisa. ok, hivyo msimamo wako bado uleule kuhusu kutoa maelezo polisi? bado hauamini kama ni haki ya suspect kukataa kutotoa maelezo na akamwambia askari anayechukua cautioned statement kuwa yeye hatoi maelezo, maelezo atayatoa anapojieleza katika defence yake mahakamani? still upo na msimamo uleule au shule yangu ilikuingia?

Tena wewe ulikuwa kilaza , kesi ulizoshinda ni zile kolabo ilikuwa ya marehumu Bonifas, nyingi ulipoteza! Pia kumbukumbu yako siyo nzuri kwani kimsingi nilisema hilo linawezekana especially kwa zile minor offences, nitake radhi , how can I learn from failures!
 
Back
Top Bottom