Serikali yapunguza riba ya mikopo

Benki Kuu inapaswa kufanya "auditing" taasisi zote za fedha ambazo zipo chini yake. Katika taasisi za fedha ambazo zipo katika "Tiers 2, 3 " 4 kutokana na MFI Act ya 2018 itakutana na "lending rate" za ajabu sana. Pamoja na uwepo wa ""loan sharkrs" lakini kitu cha ajabu ni kwamba watu wanazidi kukopa tu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sentensi za paragraph ya mwisho ni muhimu sana kwa watanzania wa kawaida...Wengi wamejikuta kwenye madeni yasiyolipika
 
Rais Samia Suluhu anaendelea kuteka mioyo ya watanzania walio wengi kwa jitihada hizi za kuinua uchumia wa mtanzania kwa maendeleo haya 2025 Rais Samia Suluhu atashinda kwa kishindo
Mkuu Nyabukika, hili ni jambo jema, kwa maendeleo ya taifa na litasaidia sana wananchi, ila sasa naomba usilete siasa za uchawa katika hili kuwa 2025 atashinda kwa kishindo, huu uchawa uta waterdown nia njema na nia nzuri ya Mama kwenye hili la kushusha riba likaonekana ni kwa ajili 2025
P
 
Hivi raia tu mpambanaji kitaa mwenye ghetto lenye sufuria mbili na ndoo saba na (sabufa)na tv chogo 18" anawezaje kupata mkopo Bank?hili ni swali gumu nililowahi kuulizwa
Na hata ukiwa na dhamana ya nyumba au gari,na biashara lazima utaletewa vikwazo kwa mtanzania halisi ila wa Asia fasta wanapewa mikopo.
 
Hata riba ikiwa asililimia 2 inakusaidia nini wakati bei ya mchele, unga na mafuta ya kupikia ambavyo ni vitu vya kila siku bei zake zinapaaa?? Unafikiri huo mkopo atapata kila mtu...ukikopa ujue utalipa
 
Wallahi naenda benki sasa hivi.
 
Mimi ni mkopo NMB nakatwa asilimia 18% Acheni uongo kama Wa Magufuli
 
Tukisema ana upiga mwingi, wengine wanaumia. Hakika kupunguza riba ni jambo jema
Rais Samia Suluhu alisema lengo lake ni kuwainua watanzania kiuchumi ndio maana unaona kila siku anakuja na njia mpya za kuwainua watanzania kwa haya anayoyafanya tuna kila sababu ya kusema anaupiga mwingi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…