Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Wanamtumikia kafiri ili wapate chapaaaHata wangesema wamekufa nusu ya Watanzania,hofu alituondolea Mwendazake.
Nyie wahuni endeleeni kupika data ili beberu akenue meno.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanamtumikia kafiri ili wapate chapaaaHata wangesema wamekufa nusu ya Watanzania,hofu alituondolea Mwendazake.
Nyie wahuni endeleeni kupika data ili beberu akenue meno.
Hajui chapaa ili ilimsaliti/muuza mmoja wa manabii?Wanamtumikia kafiri ili wapate chapaaa
Mbunge wa chadema asiye kivipi!Taarifa hii ya kutiliwa mashaka imetolewa bungeni na Naibu Waziri wa Afya Mh Mollel alipokuwa akijibu Swali LA MBUNGE ASIYE NA CHAMA HALIMA MDEE , aliyetaka kujua idadi ya waliokufa kwa corona tangu ilipoingia nchini .
Chanzo : Muungwana Blog
Naona ushapiga ugimbi hata kuandika tu ni sheedaMbunge wa chadema asiye kivipi!
Atajuaje na huku walipima mapapai yakaonekana kuwa na UVIKO? Nchii hii ina vituko kwelikweli!Amesema kwamba tangu siku ya kwanza kuingia corona nchini Tanzania , yaani tangu enzi zile haijaanza kuitwa UVIKO 19
[emoji38][emoji38][emoji38]Atajuaje na huku walipima mapapai yakaonekana kuwa na UVIKO? Nchii hii ina vituko kwelikweli!