johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Ndugu yangu hii serikali ya wapenzi watazamaji kama sisiSasa serikali inashangaa nini?
Uchumi wa soko manka!Wanazidi kuongeza pressure ya wananchi kudai katiba mpya.
Mkuu hapo hakuna kitachobadilika, hao wenye viwanda watatoa pesa na mambo yataendeleaMaeneo mengine serikali wako makini, ila sehemu nyingine wanawaachia wananchi mizigo waibebe wenyewe, au kwasababu hili halijapitia bungeni ndio maana serikali imesimama na wananchi? kwa sababu kama likipitia bungeni hata likiwa na maumivu kwa wananchi lazima lipitishwe.
Serikali imesema viwanda vya gesi ya kupikia havijafata utaratibu katika kupandisha bei hivyo bei mpya hazitambuliki.
Afisa wa Ewura mr Kaguo amesema viwanda vya gesi vimetakiwa vipeleke vigezo vya kupandisha bei na serikali ama itavibariki na kukubali bei mpya ama itavikataa kama havijitoshelezi.
Source: ITV habari
Serikali imesema viwanda vya gesi ya kupikia havijafata utaratibu katika kupandisha bei hivyo bei mpya hazitambuliki.
Afisa wa Ewura mr Kaguo amesema viwanda vya gesi vimetakiwa vipeleke vigezo vya kupandisha bei na serikali ama itavibariki na kukubali bei mpya ama itavikataa kama havijitoshelezi.
Source: ITV habari
Serikali ya Tz Bwanaaah! Vitukotuko tupu, Yan wanajitekenya wao kisha wanacheka, wanatengeneza tatizo zen wajishangaza afu wanaigiza kutatua ili kuhadaa wananchi!Serikali imesema viwanda vya gesi ya kupikia havijafata utaratibu katika kupandisha bei hivyo bei mpya hazitambuliki.
Afisa wa Ewura mr Kaguo amesema viwanda vya gesi vimetakiwa vipeleke vigezo vya kupandisha bei na serikali ama itavibariki na kukubali bei mpya ama itavikataa kama havijitoshelezi.
Source: ITV habari
Jamani 🤣🤣🤣Serikali imesema viwanda vya gesi ya kupikia havijafata utaratibu katika kupandisha bei hivyo bei mpya hazitambuliki.
Afisa wa Ewura mr Kaguo amesema viwanda vya gesi vimetakiwa vipeleke vigezo vya kupandisha bei na serikali ama itavibariki na kukubali bei mpya ama itavikataa kama havijitoshelezi.
Source: ITV habari