Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Hata tozo serikali inashangaa piaSerikali imesema viwanda vya gesi ya kupikia havijafata utaratibu katika kupandisha bei hivyo bei mpya hazitambuliki.
Afisa wa Ewura mr Kaguo amesema viwanda vya gesi vimetakiwa vipeleke vigezo vya kupandisha bei na serikali ama itavibariki na kukubali bei mpya ama itavikataa kama havijitoshelezi.
Wanapokea mishahara mikubwa na marupurupu kibao changanya na rushwa mkuu watakukumbuka wewe mzee wa kajamba nani?Inahitaji tone Moja tu la akili kutambua sababu za kupanda bei ya bidhaa. Tozo za kijinga Kila mahali zinapunguza mzunguko wa pesa. Kwa bahati mbaya tuliopo kitaa tuna mawazo mazuri ya maendeleo lakini walio na wadhifa na nafasi ya maamuzi, hawawazi lolote zaidi ya kulinda nafasi zao watawale milele
Wapinzani wenyewe sijui wanapewaga mlungula wanatulia, tusiokuwa wanasiasa ndiyo tunaumiaga zaidiWananchi wanashangaa na serikali inashangaa maajabu
Halafu kuna watu wanasema siasa haina maana
Nasubiri kuona wapinzani wakiumia kwa hili swala.
Titizo aliyeshiba hamtambui mwenye njaaWanapokea mishahara mikubwa na marupurupu kibao changanya na rushwa mkuu watakukumbuka wewe mzee wa kajamba nani?
Wanajuana hao wanatufanya wananchi mazuzuMkuu na wewe umeamini kama wenye viwanda wamejipandishia tu bei?
Kwenye madaraka waliwekwa tu hilo hawawezi kushangaa wanashangaa mengine.Wenyewe wanashangaa wameshika je madaraka?wanashangaa tozo kuwaumiza wanannchi,wanashangaa mafuta kupanda bei wanashangaa gesi kupanda bei kila kitu kushangaa hata katiba mpya watu wanapoidai bado wanashangaa kila kitu kushangaaa serikali ya kushangaa .Uwauliza swala la ajira kwa vijana watakwambi hata wao wanashangaa haya tuendelee kushangaaa
Ndiyo maana yake, akiingia mtu na mipango yake anakwamishwa, hapo dawa yao nikuwaondoa woteTitizo aliyeshiba hamtambui mwenye njaa
Ishamaliza mkuu.hivi ile kamati ya soko la kariakoo iliyoongezewa siku 7 ishamaliza shuuli?
Nasikia hata chanjo zikibuma mmepanga kusema ni MagufuliYeye ndo chanzo cha yote kwa kuanzisha miradi kwa pupa Ili kupata sifa awakonge waliomtangulia bila kujali tunaoumia ni sisi,dabo tozo ni matokeo ya hazina kukauka Wawekezaji walikimbia sera firishiki sasa tajiri akiwa masikini kodi utapata wapi?.
Rais inafaa atoke familia ya matajiri au wafanyabiashara ndie anaweza kuwa na nyota ya pesa.
Wananchi wakiwa na pesa tele uwekezaji na manunuzi yataongezeka yakiongezeka, makusanyo ya kodi yataongezeka.
Wanazidi kuongeza pressure ya wananchi kudai katiba mpya.
Haaaas [emoji31][emoji31][emoji31][emoji31] haa haa haaNasikia hata chanjo zikibuma mmepanga kusema ni Magufuli
Hata mafuta ya kupikia yalipopanda bei Serikali ilishangaa pia na mpaka leo hii hayajashuka bei. Wananchi goigoi huzalisha Serikali goigoi.
Imagine Serikali hii iliyokosa kibali cha wananchi iliingia madarakani kwa kupora uchaguzi huku wananchi waking'a ng'aa macho tu badala ya kuchukua hatua.
Matokeo yake imepatikana serikali goigoi ambayo tatizo linapotokea inatoa macho na haijui cha kufanya.Kikubwa ambacho huwa inaweza kufanya ni kudanganya wananchi hasa kupitia waziri mkuu.Wananchi wajiandae kulipa uzembe waliofanya.Period.