Serikali yasitisha rasmi mgao wa maji

Serikali yasitisha rasmi mgao wa maji

Nyabukika

JF-Expert Member
Joined
Jun 15, 2022
Posts
1,440
Reaction score
1,046
Serikali ya Rais Samia Suluhu inaendelea kuondoa kero kwa wananchi na sasa mgao wa maji Dar es Salaam umefika mwisho na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam alitangaza kusitishwa kwa mgao wa maji.

RC Makala jana alisema kwa sasa Mkoa wa Dar es Salaam na Pwani unapata maji ya kutosha na ya ziada, uzalishaji wa maji ya awali ni lita 520 na uzalishaji wa maji kwa sasa ni lita 590 dhidi ya uhitaji wa maji lita 544 kwa Dar es Salaam na Pwani.

Alisema pia kuna ongezeko la uzalishaji wa maji milioni 70 kutoka Kigamboni na kufufuliwa kwa visima 20 kumefanya kuwa na idadi ya visima 122 ambavyo vinazalisha maji lita milioni 33.9.

Vilele aliongezea kuwa, "Tunamshukuru Rais Samia Suluhu kwa kutoa Tsh Bilioni 24 katika mradi wa maji Kigamboni, tulipita katika kipindi kigumu Rais Samia Suluhu alikuwa bega kwa bega na sisi kuhakikisha tunatumia kila njia ili wananchi wapate maji."

Hi inaonyesha ni jinsi gani serikali ya awamu ya sita chini ya Rais Samia Suluhu inavyoweka kiaumbele changamoto za wananchi wake na kuzitatua ndani ya muda mchache. Mungu aendelee kumtunza Rais wetu kwaajili ya maendeleo ya taifa letu.
 
Serikali ya Rais Samia Suluhu inaendelea kuondoa kelo kwa wananchi na sasa mgao wa maji Dar es salaam umefika mwisho na mkuu wa mkoa wa Dar es salaam alitangaza kusitishwa kwa mgao wa maji.

Rc Makala jana alisema kwa sasa Mkoa wa Dar es salaam na Pwani unapata maji ya kutosha na ya ziada uzalishaji wa maji ya awali ni lita 520 na uzalishaji wa maji kwa sasa ni lita 590 dhidi ya uhitaji wa maji lita 544 kwa Dar es salaam na Pwani"

Alisema pia kuna ongezeko la uzalishaji wa maji milioni 70 kutoka kigamboni na kufufuliwa kwa visima 20 kumefanya kuwa na idadi ya visima 122 ambavyo vinazalisha maji lita Milioni 33.9.

Vilele aliongezea kua Tunamshukuru Rais Samia Suluhu kwa kutoa Tsh Bilioni 24 katika mradi wa maji kigamboni tulipita katika kipindi kigumu Rais Samia Suluhu alikua bega kwa bega na sisi kuhakikisha tunatumia kila njia ili wananchi wapate maji

Hi inaonyesha ni jinsi gani serikali ya awamu ya sita chini ya Rais Samia Suluhu inavyoweka kiaumbele changamoto za wananchi wake na kuzitatua ndani ya muda mchache Mungu aendelee kumtunza Rais wetu kwaajili ya maendeleo ya taifa letu
Tuelekeze huko KULIKOSITISHWA MGAO tuje kupata hayo maji yakhe!
 
Serikali ya Rais Samia Suluhu inaendelea kuondoa kero kwa wananchi na sasa mgao wa maji Dar es Salaam umefika mwisho na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam alitangaza kusitishwa kwa mgao wa maji.

RC Makala jana alisema kwa sasa Mkoa wa Dar es Salaam na Pwani unapata maji ya kutosha na ya ziada, uzalishaji wa maji ya awali ni lita 520 na uzalishaji wa maji kwa sasa ni lita 590 dhidi ya uhitaji wa maji lita 544 kwa Dar es Salaam na Pwani.

Alisema pia kuna ongezeko la uzalishaji wa maji milioni 70 kutoka Kigamboni na kufufuliwa kwa visima 20 kumefanya kuwa na idadi ya visima 122 ambavyo vinazalisha maji lita milioni 33.9.

Vilele aliongezea kuwa, "Tunamshukuru Rais Samia Suluhu kwa kutoa Tsh Bilioni 24 katika mradi wa maji Kigamboni, tulipita katika kipindi kigumu Rais Samia Suluhu alikuwa bega kwa bega na sisi kuhakikisha tunatumia kila njia ili wananchi wapate maji."

Hi inaonyesha ni jinsi gani serikali ya awamu ya sita chini ya Rais Samia Suluhu inavyoweka kiaumbele changamoto za wananchi wake na kuzitatua ndani ya muda mchache. Mungu aendelee kumtunza Rais wetu kwaajili ya maendeleo ya taifa letu.
Duh, kumbe Rais wetu kawa mganga wa kunyesha mvua sasa!!!!!
 
Serikali ya Rais Samia Suluhu inaendelea kuondoa kero kwa wananchi na sasa mgao wa maji Dar es Salaam umefika mwisho na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam alitangaza kusitishwa kwa mgao wa maji.

RC Makala jana alisema kwa sasa Mkoa wa Dar es Salaam na Pwani unapata maji ya kutosha na ya ziada, uzalishaji wa maji ya awali ni lita 520 na uzalishaji wa maji kwa sasa ni lita 590 dhidi ya uhitaji wa maji lita 544 kwa Dar es Salaam na Pwani.

Alisema pia kuna ongezeko la uzalishaji wa maji milioni 70 kutoka Kigamboni na kufufuliwa kwa visima 20 kumefanya kuwa na idadi ya visima 122 ambavyo vinazalisha maji lita milioni 33.9.

Vilele aliongezea kuwa, "Tunamshukuru Rais Samia Suluhu kwa kutoa Tsh Bilioni 24 katika mradi wa maji Kigamboni, tulipita katika kipindi kigumu Rais Samia Suluhu alikuwa bega kwa bega na sisi kuhakikisha tunatumia kila njia ili wananchi wapate maji."

Hi inaonyesha ni jinsi gani serikali ya awamu ya sita chini ya Rais Samia Suluhu inavyoweka kiaumbele changamoto za wananchi wake na kuzitatua ndani ya muda mchache. Mungu aendelee kumtunza Rais wetu kwaajili ya maendeleo ya taifa letu.
Maji ni mengi,yanapatikana.Asante sana kutuhabarisha.
 
Serikali ya Rais Samia Suluhu inaendelea kuondoa kero kwa wananchi na sasa mgao wa maji Dar es Salaam umefika mwisho na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam alitangaza kusitishwa kwa mgao wa maji.

RC Makala jana alisema kwa sasa Mkoa wa Dar es Salaam na Pwani unapata maji ya kutosha na ya ziada, uzalishaji wa maji ya awali ni lita 520 na uzalishaji wa maji kwa sasa ni lita 590 dhidi ya uhitaji wa maji lita 544 kwa Dar es Salaam na Pwani.

Alisema pia kuna ongezeko la uzalishaji wa maji milioni 70 kutoka Kigamboni na kufufuliwa kwa visima 20 kumefanya kuwa na idadi ya visima 122 ambavyo vinazalisha maji lita milioni 33.9.

Vilele aliongezea kuwa, "Tunamshukuru Rais Samia Suluhu kwa kutoa Tsh Bilioni 24 katika mradi wa maji Kigamboni, tulipita katika kipindi kigumu Rais Samia Suluhu alikuwa bega kwa bega na sisi kuhakikisha tunatumia kila njia ili wananchi wapate maji."

Hi inaonyesha ni jinsi gani serikali ya awamu ya sita chini ya Rais Samia Suluhu inavyoweka kiaumbele changamoto za wananchi wake na kuzitatua ndani ya muda mchache. Mungu aendelee kumtunza Rais wetu kwaajili ya maendeleo ya taifa letu.
Kwa hiyo ndo ilileta mgao?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Wa Jiji la Mwanza kuanzia jana Jumamosi wameanza kipindi cha wiki nzima bila maji hadi Jumamosi ijayo! Hongera Mama kwa kuupiga mwingi!!!
 
Serikali ya Rais Samia Suluhu inaendelea kuondoa kero kwa wananchi na sasa mgao wa maji Dar es Salaam umefika mwisho na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam alitangaza kusitishwa kwa mgao wa maji.

RC Makala jana alisema kwa sasa Mkoa wa Dar es Salaam na Pwani unapata maji ya kutosha na ya ziada, uzalishaji wa maji ya awali ni lita 520 na uzalishaji wa maji kwa sasa ni lita 590 dhidi ya uhitaji wa maji lita 544 kwa Dar es Salaam na Pwani.

Alisema pia kuna ongezeko la uzalishaji wa maji milioni 70 kutoka Kigamboni na kufufuliwa kwa visima 20 kumefanya kuwa na idadi ya visima 122 ambavyo vinazalisha maji lita milioni 33.9.

Vilele aliongezea kuwa, "Tunamshukuru Rais Samia Suluhu kwa kutoa Tsh Bilioni 24 katika mradi wa maji Kigamboni, tulipita katika kipindi kigumu Rais Samia Suluhu alikuwa bega kwa bega na sisi kuhakikisha tunatumia kila njia ili wananchi wapate maji."

Hi inaonyesha ni jinsi gani serikali ya awamu ya sita chini ya Rais Samia Suluhu inavyoweka kiaumbele changamoto za wananchi wake na kuzitatua ndani ya muda mchache. Mungu aendelee kumtunza Rais wetu kwaajili ya maendeleo ya taifa letu.
Ila kuna shida sana nchini.

Yaani tukilipa kodi hamshukuru? Halafu mkifanyia kazi pesa zetu kwa kazi tulizowatuma mnajishukuru.

Oneni aibu basi mnapomshukuru Rais kwa kusimamia matumizi ya kodi zetu mtushukuru na sisi wananchi pia kwa kuchanga mia tatu zetu hadi zikatosha kufanya mradi mkubwa kama huo wa maji. Billion 24 kweli unamsifia Rais wetu mpendwa pekee😍

Hongera rais SSH kwa kusimamia pesa zetu na kuzielekeza mahali sahihi kutatua changamoto ya maji Dar.

Hongera wananchi kwa kutoa pesa zenu zimemaliza tatizo la maji Dar.

Hongera waTanzania kwa kutatua changomoto ya maji Dar
 
Makubwa haya, kwahiyo mgao ulisubiri kauli ya RC kumbe? Nchi yetu viongozi wamegeuka wao ndo kila kitu, yaani wao ndo Mungu na wao ndo miungu.

Yaani Mungu kaleta mvua leo wewe unatoka mbele za watu unatoa kauli za kipumbavu kabisa, vipi kesho mvua zikakata tena, RC atasemaje?
 
Back
Top Bottom